Mwanamke

Mhhhh hapa kuna utata, wewe l3unamm3 una miaka 30+ na ni mwanamme wa Dar tena mpole? Nikuulize, unataka demu wa kumchezea tu hisia au geresha ili wananchi wakuone kuwa ni rijali? Nyie wanaume wa Dar jamani basi tu, mnajijuwa wenyewe.
 
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?

Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.

Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako

Mengine tutazungumza PM
wanaume wasioongea wabaya sana, ukishapona uje pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?

Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.

Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako

Mengine tutazungumza PM
Wewe njoo na I d yako ya zamani hizo ndizo tunazoziamini shauri yako utakosa bahati
 
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?

Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.

Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako

Mengine tutazungumza PM
Mmmmm

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom