- Thread starter
- #21
Nimesoma kibao mlangoni kabla sijaingia
Nimesoma kibao mlangoni kabla sijaingia
wanaume wasioongea wabaya sana, ukishapona uje pmHii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?
Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.
Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako
Mengine tutazungumza PM
ubaya wao nini?
Wana action matata, bora mwanaume muongeaji akikasirika utajuaHahaha
ubaya wao nini?
Hahaha haya bhana, nimeshapona lakini
Hii nayo tayari imeshakuwa ya zamaniUngekuja na id yako ya zamani mchumba.
Haya, tunasubiri mrejesho.Hii nayo tayari imeshakuwa ya zamani
Dec 30 ni juzi tu,unawezaje kupona ndani ya week 3,usiniangushie jumba bovuHahaha haya bhana, nimeshapona lakini
Wewe njoo na I d yako ya zamani hizo ndizo tunazoziamini shauri yako utakosa bahatiHii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?
Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.
Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako
Mengine tutazungumza PM
Kwa Uzi huu kila MTU ana vigezo maana kuficha ficha vitu vya muhimu kama ARVS sio vizuri ,awe wazi
Tena wewe 😂😂Wewe njoo na I d yako ya zamani hizo ndizo tunazoziamini shauri yako utakosa bahati
MmmmmHii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?
Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.
Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako
Mengine tutazungumza PM