ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Mmmmh.. Hebu mjazie 'pampass' ndani awe anatumia..!!
Daaaaaaaahha ha haa,limbwata hilo...unaomba na ushauri??? duuu
Habar wakuu. .
Nina mwanamke Wang ambae nimedumu nae takriban miez 10 Japo changamoto ni nyingi sana lakini nimeendelea kumpenda nikiamini atabadilika .
Kwa mala ya Kwanza niliigundua tabia yake ya kujikojolea kitandan
Nilipo amka na kukuta mikojo kumuuliza nkajibiwa BAHAT MBAYA. ..
kwa sasa tabia hii imekua kubwa imefikia Wakat.. Ameanza kuunganisha haja (mikojo pamoja na maaaav) nilipo mbana sana akanambia ukwel kua X wake alikua anampiga 0713 ndio maana anapo jikojolea anashindwa kujizuia kuny*****a
Huyo mwamke bado sijamuoa .. Ushaul wenu jaman.nikomae nae atapona au nimkimbie mapema
NB":kwangu huwa anakuja na kulala mala moja moja .bado sijaanza kuish nae lasmi
Ngopela kesaMmmh mbombo jilipo
Sijui huwa kuna uhusiano gani wa new member Na madam tata kama hizi!
Anyway ngoja waje wakushauri
sasa bidada hiyo dawa ya kumtibu "Marinda" yaliyokwisha tatuliwa ataitoa wapi huyu mtoa mada jamani...?? 🙄Mtafutie dawa kama unampenda na umedhamiria awe mke wako