Mangulason
Member
- Oct 31, 2019
- 77
- 77
Wadau naombeni ushauri, niko na mwanamke wangu kwa muda mrefu ila tukiwa katika mchezo mwenzangu akimaliza tu haja zake anasema amechoka anataka tupumzke na kwa upande wangu nakuwa bado sjiamaliza haja zangu.
Naombeni ushauri, nifanye nini
Naombeni ushauri, nifanye nini