mkuu apo auna wala mchumba, kumbuka mtu unae karibu bado watu wanamega kama kawaida. mfano; mi nilikuwa totozi like you, tulipeana adi za dhati kufunga ndoa naye, kutoka fm3 alipo fika chuo 2yr SUA, akaona yeye ni bola zaidi akasema kampata mwingine uko SUA, so mimi nitafute mwengine. mi iliniuma sana kwa kunipotezea time na malengo langu for 6yrs. ushauli wangu: kama anakupenda mwambie aombe transfer aje uko unapo fanyia kazi