Mwanamke sio sura

kanchibay

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
671
Reaction score
692
Jamani naomba niliweke sawa hili swala, nikwamba uzuri wa mwanamke sio sura bali ni TABIA, na neno hili ni kifupicha "TAko ni BIdhaa Adim"

na ndio maana wanaume tunajitahidi kugeuza shingo na kuangalia nyuma paletu wadada wanapotupita, nikwamba tunajihakikishia kama kweli Tabia njema ipo kweli kwa hao wadada!!?

Kwahyo basi niendelee kuwasihi wanaume wenzangu endeleeni ku maintain wajibu wenu.

mapovu kafulie nguozako za kazi√√

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia ikiwa njema wanaume lazima tukutazame tu

CC Zero IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…