Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
mimi huwa sisemi mrembo, ofisi moja hata wadada watano nawafuturu na hawajijui inabakia siri yangu pekee..naja huko huko
watu wenye maneno ya hivo mara nyingi hata huwa vidude vyao havisimami....watu wa chai tu!!!!
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...
Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...
Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
mapenzi kiti cha basi.................
Tupe sifa za wagongajiKijana ambae huwa anajisifu sifu mbele za watu ooh yule nimekula huyu kantaka yule nini wengi wao ni NYUKI WA CANTEEN kazi yao kulamba sukari tu hawaumi, utakuta mwingine ni kupita pita na demu tu anaenda na huyu anarudi na yule hao nao ni MAESCORTER tu sio wagongaji!!!!
concluded.....
Tupe sifa za wagongaji