Mwanamke sio sabuni, haishi

Mwanamke sio sabuni, haishi

Stamina

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
1,040
Reaction score
589
Habari za weekend wana MMU.

Leo nimeonelea tujadili hii tabia ya baadhi ya wanaume, kupenda kukashifu wapenzi/wachumba za watu.

Unakuta mtu una mpenzi/mchumba wako, sasa bahati mbaya au tuseme nzuri kapita rafiki yako na wewe bila ajizi ukamtambulisha kwake ili amfahamu.

Sasa cha kushangaza mara tu baada ya yule mpenz wako kuondoka, jamaa anaanza kashfa/kujisifu "mara ooh, huyu demu nishatembea naye sana tu, tukafanya nae hivi na hivi, nikaingia nae gest fulan na fulani".

Kila mwanamke atakae pita kijiwen yeye lazima ajisifu kama sio kujibaraguza kuwa keshatembea naye, tena mbaya zaidi hata wake za watu, utasikia "huyu usimwone hivi me nishapitia tena kitandani hana lolote".

Akipita mwingine utasikia "huyu alinitaka mwenyewe wala sikumtongoza" sasa kaka, hata kama kweli, misifa yoooote hiyoo ya nini?! Au ndio ulimbukeni plus ushamba?

Asipite mtu na mpenzi wake lazima ajifarague kuwa kesha tembea naye, na mzigo keshakula! Hivi hata kama ulishatembea naye kweli, Umesikia mwanamke ni sabuni anaisha?! Wewe si ulishindwa sasa acha wenzako wale?! Kashfa za nini tena?

Hivi na huyo mkeo/mpenzi wako uliyenaye unajua weshapitia wangapi? Tabia hii ya kukashifu na kujisifu kuwa ushatembea na wapenzi/wachumba/wake za watu ni ushamba au ulimbukeni?
 
watu wenye maneno ya hivo mara nyingi hata huwa vidude vyao havisimami....watu wa chai tu!!!!
 
Data collection and Methodology plz

Kijana ambae huwa anajisifu sifu mbele za watu ooh yule nimekula huyu kantaka yule nini wengi wao ni NYUKI WA CANTEEN kazi yao kulamba sukari tu hawaumi, utakuta mwingine ni kupita pita na demu tu anaenda na huyu anarudi na yule hao nao ni MAESCORTER tu sio wagongaji!!!!
concluded.....
 
Habari za week end wana mmu!

Leo nimeonelea tujadili hii tabia ya baadhi ya wanaume, kupenda kukashifu wapenzi/wachumba za watu!

Unakuta mtu una mpenzi/mchumba wako, sasa bahati mbaya au tuseme nzuri kapita rafiki yako na wewe bila ajizi ukamtambulisha kwake ili amfahamu.

Sasa cha kushangaza mara tu baada ya yule mpenz wako kuondoka, jamaa anaanza kashfa/kujisifu "mara ooh, huyu demu nishatembea naye sana tu, tukafanya nae hivi na hivi, nikaingia nae gest fulan na fulan"

Kila mwanamke atakae pita kijiwen yeye lazima ajisifu kama sio kujibaraguza kuwa keshatembea naye! Tena mbaya zaidi hata wake za watu, utasikia "huyu usimwone hivi me nishapitia tena kitandani hana lolote, ".

Akipita mwingine utasikia "huyu alinitaka mwenyewe wala sikumtongoza" sasa kaka, hata kama kweli, misifa yoooote hiyoo ya nini?! Au ndio ulimbukeni plus ushamba?!

Hasipite mtu na mpenz wake lazima ajifarague kuwa kesha tembea naye, na mzigo keshakula! Hivi hata kama ulishatembea naye kweli, Umesikia mwanamke ni sabuni anaisha?! Wewe si ulishindwa sasa acha wenzako wale?! Kashfa za nini tena.?!

Hivi na huyo mkeo/mpenz wako uliyenaye unajua weshapitia wangapi? Tabia hii ya kukashifu na kujisifu kuwa ushatembea na wapenz/wachumba/wake za watu ni ushamba au ulimbukeni?!
mkuu hii mada nilisikia kwenye radio station moja hvi leo asbh ila we umemodify kidogo au ndo yule mtangazaji, ila umefanya vizuri kupost huku cz cyo wote tuliosikiliza kile kipindi
 
Kijana ambae huwa anajisifu sifu mbele za watu ooh yule nimekula huyu kantaka yule nini wengi wao ni NYUKI WA CANTEEN kazi yao kulamba sukari tu hawaumi, utakuta mwingine ni kupita pita na demu tu anaenda na huyu anarudi na yule hao nao ni MAESCORTER tu sio wagongaji!!!!
concluded.....
Wakimbiza mwenge.
 
sa kama kweli anasoma km za mbinguni usiambiwe... ata kama haiishi ila inachoka, sa nyingine bora ukajipiga magoli ya mkono kukiko a tired pussy
 
Kijana ambae huwa anajisifu sifu mbele za watu ooh yule nimekula huyu kantaka yule nini wengi wao ni NYUKI WA CANTEEN kazi yao kulamba sukari tu hawaumi, utakuta mwingine ni kupita pita na demu tu anaenda na huyu anarudi na yule hao nao ni MAESCORTER tu sio wagongaji!!!!
concluded.....

mbona umenichunia
 
Ndio maana maishani mwangu nimekuwa makini na jinsia ya kiume...siwaamni hata kidogo...
Men do kiss and tell...

Unaweza geuzwa gumzo mtaani bila wewe kujua...kisa huruma ...wanakuja wanajiliza...wakimaliza wanatafuta nani wa kumsimulia...hasa wavulana ...nadhani wanaume hawana hata muda wa kukaa kijiweni...ingawa wakipata muda na wao ni mule mule...

Kuna ma office mate wangu wa kiume ni watu wazima lakini wanaongelea waliokwisha wapitia...tena wengine ni wake za watu...
 
Back
Top Bottom