PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,280
Habari, JF ni sehemu sahihi ya majibu sahihi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufanya maamuzi ya kupata mama watoto. Wapo mabinti wawili imekuwa ni mchuano mkubwa wa kupata selection.
Yupo mmoja yeye kila ninapomuonyesha mbele ya watu wangu wa karibu wanasema huyu ndio sahihi kuwa mke, kwangu mimi kwenye machaguo yangu kila nikiselect naona asiepewa nafasi ya kukubalika mbele za watu ndio anafit.
Hofu kubwa je huwenda macho yangu yamefunikwa na ukungu wa upendo mpaka kutokujua palipo sahihi ikanipelekea kukosea na kuharibu maisha yangu na kupata majutio makubwa.
Nimebaki njia panda...je, kwa maoni yako kwa maelezo yangu ni wapi palipokuwa sahihi?
Namalizia kwa kusema kosea kujenga ila usikosee kuoa..
Nipo kwenye hatua za mwisho kufanya maamuzi ya kupata mama watoto. Wapo mabinti wawili imekuwa ni mchuano mkubwa wa kupata selection.
Yupo mmoja yeye kila ninapomuonyesha mbele ya watu wangu wa karibu wanasema huyu ndio sahihi kuwa mke, kwangu mimi kwenye machaguo yangu kila nikiselect naona asiepewa nafasi ya kukubalika mbele za watu ndio anafit.
Hofu kubwa je huwenda macho yangu yamefunikwa na ukungu wa upendo mpaka kutokujua palipo sahihi ikanipelekea kukosea na kuharibu maisha yangu na kupata majutio makubwa.
Nimebaki njia panda...je, kwa maoni yako kwa maelezo yangu ni wapi palipokuwa sahihi?
Namalizia kwa kusema kosea kujenga ila usikosee kuoa..