mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 669
- 520
Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita.
Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita
Demu kapima Leo kaambiwa anao.
Mazee hofu niliyokuwa nayo nikama nilipiga peku, hata msosi sili kwa raha!!!
Wenge baya sana
Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita
Demu kapima Leo kaambiwa anao.
Mazee hofu niliyokuwa nayo nikama nilipiga peku, hata msosi sili kwa raha!!!
Wenge baya sana