Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,915
- 3,748
Sasa unataka tutembee na twanaume tuchafu🙄Wengine wanadharau sana unakuta mwingn akisem kuwa yeye sio wakutembea na wanaume wachafu
Nani atakutafuta wewe punguza kujipa umuhimunusiokuw anao!
Sasa unataka tutembee na twanaume tuchafu
Na anakuwa anapokea chochote kinacho jitokeza mbele take😂Anakuwa haraka anapendeza haraka na uzuri wake unaisha mapema. akifika 40 kwa ule aliyeringia masela ataacha maringo naanakuwa mzuri tatizo mda utakuwa umempita. kwa hiyo wadada msituringie sana ss masela maana kuna wakat mtatutafuta ila hamtatuona.
Na anakuwa anapokea chochote kinacho jitokeza mbele take😂Anakuwa haraka anapendeza haraka na uzuri wake unaisha mapema. akifika 40 kwa ule aliyeringia masela ataacha maringo naanakuwa mzuri tatizo mda utakuwa umempita. kwa hiyo wadada msituringie sana ss masela maana kuna wakat mtatutafuta ila hamtatuona.
Sasa unataka tutembee na twanaume tuchafu
Nani atakutafuta wewe punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao!
Thiago anampasia mbappe kross anafunga Mastantuono ☺️Nani atakutafuta wewe punguza kujipa umuhimu usiokuwa nao! 🚮
Mkuu unaendeleaje?Thiago anampasia mbappe kross anafunga Mastantuono ☺️
Fresh,Mkuu unaendeleaje?
Pole sana! utakaa tu sawa, muda ni dawa.. enjoy mvinyo wako!Fresh,
Fresh hapa napiga mvinyo kidogo nilipotea.
Nawaza nianze safar ya dar full upweke.. moyo mzito
Nakuona na nyuzii zakooooPole sana! utakaa tu sawa, muda ni dawa.. enjoy minyo wako!
Pole sana, jipe moyo! utavuka tu.. usafiri salama, hugs
Nyuzi gani tena mkuu? 😅Nakuona na nyuzii zakoooo