Hallow akina dadas and kakas, naamini mpenzi/mke/mme ulienae kuna vitu anuai vilikuvutia sana.
Mie binafsi nina mke na mtoto na nawapenda sana. Mke wangu nilivutiwa na mwanya wake maana ndo kilikuwa kitu muhimu sana kwangu kabla ya yote, why?
1. Huwa wanatabasamu mda wote akinuna utajua
2. Huwa wana heshima sana ktk mahusiano
3. Ni wacheshi sana na wanapenda kujichanganya
4. Huwa ni wasafi sana asikwambie mtu.
5. Wana huruma sana.
6. Wana mapenzi ya dhati.
Je ulisha wahi fanya utafiti wao.
Kama hujaoa usifanye kosa tafuta mke mwenye mwanya
Kaaaazi kweli kweli!!
Umeona ae..
Lakini nimependa jamaa anavyofikiri ..
Kuna mmoja namjua ana mwanya....
Wangu hana mwanya ila sio mbaya nitampeleka kwa fundi mianya akamweke mwanya mmoja mzuuuuuri!! Halafu nivune hiyo sifa namba 6.
Really? Anazo hizo sifa au ni uzushi tu ..
Heeheheeh...umependa kwasababu.....?!
Hahahahahaha inaelekea anatafuta sababu ndogo ya kuwasifia watu. Which is good I guess. Haina tofauti sana na ile wasichana wa kabila fulani ...
Anazo na zaidi aee!!
Duhhhh atafurahi kweli kusikia hivyo ..
We hiyo aee umeipenda aee ..
Hhmm..hmmm..mmmh!!
Nyw njoo bana kabla sijasinzia...nimechoka balaa!
Nimeipenda sana aee
Mi tayari niko hapa ..
Nakusubiri tu Halafu kanijibu kwanza kule kwa NN..
Done...jiandae sasa!!And you better be generous...kama mchana vile!!lolzMi tayari niko hapa ..
Nakusubiri tu Halafu kanijibu kwanza kule kwa NN..
Done...jiandae sasa!!And you better be generous...kama mchana vile!!lolz