Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 604
- 977
Ndugu wanajamvi, huyu mwanamke ni jirani yangu! Ana kichanga cha miezi tisa (9)!
Alinieleza njia ya uzazi aliyokuwa anaitumia ni ya kalenda! Sasa kuna kulingana na mabadiliko ya mazaringira kumbe siku zikavurugika! Pasipo kutarajia akanasa ujauzito! Je nini madhara yake!?
Je, atoe mimba au ailee haitakuwa na madhara makubwa ya kiafya badaye?
Alinieleza njia ya uzazi aliyokuwa anaitumia ni ya kalenda! Sasa kuna kulingana na mabadiliko ya mazaringira kumbe siku zikavurugika! Pasipo kutarajia akanasa ujauzito! Je nini madhara yake!?
Je, atoe mimba au ailee haitakuwa na madhara makubwa ya kiafya badaye?

