Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Hahahahahhaaungemloweka
Hahahahahhaaungemloweka
amloweke na tangawizi bila kusahau kitunguu swaum atakua na ngozi soft kama ya samaki!! hahaha wanaume mtatuua kutwa kutukosoa mtadhani na nyie mko perfect.ungemloweka
Hii mnatakiwa mjiliweke wenyewe, mkija kwetu mnahakikisha mko poa kila idaraamloweke na tangawizi bila kusahau kitunguu swaum atakua na ngozi soft kama ya samaki!! hahaha wanaume mtatuua kutwa kutukosoa mtadhani na nyie mko perfect.
Huyo ndo mwanamke wa Kiafrika,tatizo mmekwishazoea hawa mademu zenu waliojipiga mikorogo hadi ngozi zimekuwa kama plastiki..!!Aiseeeee
Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa
Basi nikaenda nae hadi akawa sawa
Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu mwili mzima!
Si mikono wala kalio lake kubwa, kote ni ngumu kama gamba la samaki ful mikwaruzo, kiukweli hafanani na jinsi alivyo hakika hakuna kizuri bila kasoro
Inakuaje mrembo wa kimuonekana unakua na ngozi ngumu?
Kwakweli hapa atanisamehe, hataniona tena