Mwanamke mla nyama za watu huyu hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwanamke mla nyama za watu huyu hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Kuna mabo ambayo hayafikiriki kabisa na mengine ukiambiwa ni vigumu kua mini lakini yapo
Huyo hapo mwanamke mla nyama za watu!!!!!!!!

Sijui ana matatizo ya akili au ni uchawi mhhhhhhh!!!!!!!!!!

Mtaniwia radhi inaogopeha kwa wale waoga:


[h=3]MWANAMKE MLA NYAMA ZA WATU ATIWA MBARONI[/h]
TAHADHARI😛ICHA ZA KUTISHA!!

Polisi wamemkamata mwanamke anayekula na kuhifadhi nyama za watu kwenye friji lake,angalia picha chini!!!
watu.PNG


Hii dunia ina masimulizi mengi, sijui hili niianzie wapi kwa kweli.....


1.PNG

Picha ya juu ni mwanamke wa kifilipino mwenye umri wa miaka 29 ambaye amekamatwa na polisi kwa kula na kuhifadhi VIUNGO VYA BINADAMU kwenye friji...
2.PNG
Mwanamke huyu ameua na kula zaidi ya wasichana 30 na watu wengine wengi pamoja na mume wake na kuweka nyama zao kwenye friji amekuwa akila nyama za watu kwa muda mrefu sana.

Mwanamke huyu mla nyama za watu,alisema alikuwa anaandaa party (sherehe) nyingi kwa ajili ya marafiki zake na ndugu ambao aliwapikia na kuwalisha nyama za watu bila wao kujua. Wageni wake walimsifia kuwa chakula chake kitamu.


29-woman-arrested-human-parts-1.jpg

Mwanamke huyo alisema amewala watu hao kutokana kwa kupenda mwenyewe na kama atapewa nafasi nyingine atarudia tendo hilo tena bila kuingiliwa.

Hata alipofika gerezani ,alimvamia askari wa kike akamng'ata mkono wa kulia na kumeza kidole kimoja cha askari huyo..!!
 
Lol...najuta kufungua hii thread kwa kweli.
 
Picha zinatisha kuliko maelezo yenyewe!!!
Eiyer, hao watu aliokuwa anawala wengi hivyo na kwa muda mrefu hivyo bila kujulikana, alikuwa anawapata wapi?
 
Last edited by a moderator:
Picha zinatisha kuliko maelezo yenyewe!!!
Eiyer, hao watu aliokuwa anawala wengi hivyo na kwa muda mrefu hivyo bila kujulikana, alikuwa anawapata wapi?

Mkuu watu wenye matatizo haya huwa wana mbinu nyingi sana za kuwahadaa watu,wanaweza kuonekana kama ni watu wakarimu sana kwa nje na mara nyingi wanakuwa ni wazuri kwa sura au tabia,hivyo kuwashtukia inakuwa ni vigumu sana ndio maana wanamudu kufanya uhalifu kwa muda mrefu sana

Hata siku wakija kubainika watu hushindwa kuamini!!
 
^^
Wakati mwingine inatakiwa mmoja afe kunusuru maisha ya wengine.
^^
 
duh huyu mama atakuwa ni wazimu kutoka kuzimu duh nimeshangaa sana
 
Hawa ndiyo wale Nyerere alisema mtu akishakula nyama ya mtu ataendelea tu kuila......ndiyo maana mpaka sasa hajutii kosa lake anataka kula mpaka na maaskari jela
 
Mmmh hakika huyu ana matatizo ya akili si bure jamani. Hii si inafanana na ya rama mla watu , unakumbuka kuna kijana aliwahi kukamatwa anakula kichwa cha mtu. Sijui ile kesi iliishaje tu.
 
tulishamuona tayari
Sisi wengine hatukuiona hii. Hata hivyo hapa JF hakuna mtu maaluma wa kwamba yeye akishaona basi isiwekwe tena. Mambo hayo yapo kwa watengeneza pombe eg TBL, Serengeti na pombe za kienyeji. Wao wana waonja pombe (tunawaitaga matesta). Wkishasema hii nzuri, basi inaingia sokoni. JF hatuna wa hivyo..
 
Tutashituka kwa sababu sisi ni binadam ,lakin maandiko yanasema tuonapo mambo kama hayo yanatukia basi tujue kwamba ule mwisho umekaribia na hizo ndo ishara zake!Mungu atusaidie sana sisi waja wake!
 
Back
Top Bottom