Mwanamke kwa aliyetayari kupima hiv

Mwanamke kwa aliyetayari kupima hiv

mannu

Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
36
Reaction score
5
Nimeajiriwa serikalini napenda kujitokeza ndani jamiiforum kumpata mwanamke aliyetayari kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mimi na awe tayari wakati wowote nitakapoamua kumuoa asije akaanza kunipa sababu kwamba nimemshitukiza.mimi ni mkristo ni mrefu wastani maji ya kunde miaka 38 .sifa nimtakaye
1.mkristo
2.mrefu [18 cm]
3.rangi yeyote
4.awe na shape nzuri
5.awe anaishi dar es salaam
6.umri miaka 25--32
7.asiwe anakunywa pombe
8.mwenye kujua mapenzi [amefundwa]
9.asiwe mkorofi
10.elimu kuanzia ngazi kidato cha nne na kuendelea
 
aisee mie sijafundwa utanifunda?ha ha ha we vipi!
Nimeajiriwa serikalini napenda kujitokeza ndani jamiiforum kumpata mwanamke aliyetayari kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mimi na awe tayari wakati wowote nitakapoamua kumuoa asije akaanza kunipa sababu kwamba nimemshitukiza.mimi ni mkristo ni mrefu wastani maji ya kunde miaka 38 .sifa nimtakaye
1.mkristo
2.mrefu [18 cm]
3.rangi yeyote
4.awe na shape nzuri
5.awe anaishi dar es salaam
6.umri miaka 25--32
7.asiwe anakunywa pombe
8.mwenye kujua mapenzi [amefundwa]
9.asiwe mkorofi
10.elimu kuanzia ngazi kidato cha nne na kuendelea
 
Hivi nyie mnaotaftaga mawenza humu mnakuwaga wap? Haya madada ambao hamjaolewa mume huyo !
 
The person you are looking for ,doesn't exist. 18cm even dushelele is much longer than that.
 
naomba mnisamehe wanajamii wangu nilikuwa naamanisha 180cm nilisahau ziro tuko pamoja nafikiri
 
Nelyu utanifaa tu kama unajua mume nitumie namba yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom