Mwanamke kutokukujibu unapomtongoza

Mwanamke kutokukujibu unapomtongoza



I was joking bna
davet ni kaka yangu siwe kumfanyia ufirauni.
afterall ananipa training jins ya kumpata mtoto wa kike kiulaini
Nitafutie huyo kaka ako umesababisha mpaka bae wangu kakimbia
 
Huo ndio uwanaume sasa mwisho wa siku utasikia watu wanakuuliza hivi we rijali kweli mbona kuna story zinasemekana haupo sawa
Kwan story ndio uhalisia wa mtu ?

Mfano Watu wakiambiana kwamba shunie ni msagaji wakati wewe sio msagaji kuna hasara gani?
 
Back
Top Bottom