Mwanamke kutokukujibu unapomtongoza

Mwanamke kutokukujibu unapomtongoza

Habari zenu wakuu,

Nielekee kwenye mada, nimekuwa nikimtongoza mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini amekuwa hanijibu, mara nyingi huwa tunapiga stori za kawaida lakini nikifika sehemu nikiingiza mada ya mapenzi hukaa kimya pia hunipotezea kwa muda wa siku tatu hadi wiki kama sijamuanza kumuongelesha.

Huwa najiuliza ukimya wake unamaanisha nini?
mkuu umeshindwa kujiongeza huyo manzi ataki kukukataa mazima xo angalia utaratibu mwingine
 
Samahani, una umri gani? Hebu fanya mazoezi ya kutongoza mkuu, unaulizaje maswali haya JF? tongoza kila unapopata fursa, hata Kama hutopiga kazi, itakupa experience Sana.
Sidhani Kama namaliza mwezi sijatongoza kazi mpya aisee, siku nikiamua hasa kupiga kazi, mara chache mno nahangaika
 
Back
Top Bottom