Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahaha![]()
![]()
abadilishe hili jina linatisha
Yaani, linaita watu pm
Hahaha![]()
![]()
abadilishe hili jina linatisha
Hahaha we ni mchocheziWoyoooooo watu na mishipa yao
Mmmh![]()
![]()
kitu nyanya chungu
Weka pichaUnachowaza na utakachokutana nacho ni tofauti kabsa
Mshipa hebu jibu hapaEbu ukuje uninong'oneze
Hawaogopi kizazi kupanda juu?Hahaha
Yaani, linaita watu pm
DyudyuIle kitu ilee
Mbona hakuna aliyewahi kuja Pm kwanguHahaha
Yaani, linaita watu pm
Umesahau watu ni team MandingoHawaogopi kizazi kupanda juu?
We cheka tu
Kwani utaniambia mshipa wanguMbona hakuna aliyewahi kuja Pm kwangu
Jamani ebu nitajie basi
KhaaaaDyudyu
Habari zenu wakuu,
Nielekee kwenye mada, nimekuwa nikimtongoza mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini amekuwa hanijibu, mara nyingi huwa tunapiga stori za kawaida lakini nikifika sehemu nikiingiza mada ya mapenzi hukaa kimya pia hunipotezea kwa muda wa siku tatu hadi wiki kama sijamuanza kumuongelesha.
Huwa najiuliza ukimya wake unamaanisha nini?
Nimecheka sana....!Acha utoto huyo tayari ni manzi yako wewe mtreat kimapenzi utaona anavyorespond, mademu hawapendi kujibu nimekubali.
Msalimie shemeji yetu mpya mzee baba
![]()

Nimecheka sana....!Acha utoto huyo tayari ni manzi yako wewe mtreat kimapenzi utaona anavyorespond, mademu hawapendi kujibu nimekubali.
Msalimie shemeji yetu mpya mzee baba
![]()

Nimecheka sana....!Acha utoto huyo tayari ni manzi yako wewe mtreat kimapenzi utaona anavyorespond, mademu hawapendi kujibu nimekubali.
Msalimie shemeji yetu mpya mzee baba
![]()
