Mwanamke kupata mimba kaamua mwenyewe!

Mwanamke kupata mimba kaamua mwenyewe!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,813
huwa siamini kama kuna mimba za bahati mbaya.
Mwanamke kupata mimba huwa kataka yeye.. Huwa hainiingii akilini tangu msichana avunje ungo by 12-13 then eti leo ana 25 ndo apate mimba ya bahati mbaya! Yaani ina maana huyu mtu over 12 years (miezi 124) of experience ya MP bado hajui kuhesabu siku zake?
 
huwa siamini kama kuna mimba za bahati mbaya.
Mwanamke kupata mimba huwa kataka yeye.. Huwa hainiingii akilini tangu msichana avunje ungo by 12-13 then eti leo ana 25 ndo apate mimba ya bahati mbaya! Yaani ina maana huyu mtu over 12 years (miezi 124) of experience ya MP bado hajui kuhesabu siku zake?
Usicheze na nyege
 
Nyingine huwa ni bahati mbaya,unakuta mtoto wa kike anateleza kwenye gegedo kwa bahati mbaya then anapata mimba
 
wengine ilitokea ivi.....siku 5 bleeding....5 zingine free days......8 danger days....nikafanya Siku ya 11 katika hizo nikaleta kidume.hapo ndo utajua ni bahat mbaya au nilitambua.teh!
 
Sio wote wanaamua wenywe, ni kweli ni bahati mbaya, as for me ilitokea siku ya kwanza naanza kukutana Na mpenzi Wangu, nilikua sijui a wala ee kitu kikanasa Tena cha kike. From there sasa hivi naulewa mwili Wangu vibaya mno, sijawahi tumia contraceptive yoyote, natembea Na siku tu. Ujinga wa kwanza ulinitia akili
 
Wakuu mi saiz nina kesi tayar mimba ya mwanafunz inakuwa ila kwao hawajua namimi spendi laana ya kumwambia atoe nasubili tu siku ya hukumu nipelekwe kwa herlode
 
Wakuu mi saiz nina kesi tayar mimba ya mwanafunz inakuwa ila kwao hawajua namimi spendi laana ya kumwambia atoe nasubili tu siku ya hukumu nipelekwe kwa herlode
nenda ukatobolewe Jicho na Scorpion King
 
Wakuu mi saiz nina kesi tayar mimba ya mwanafunz inakuwa ila kwao hawajua namimi spendi laana ya kumwambia atoe nasubili tu siku ya hukumu nipelekwe kwa herlode
Ingia mitin mkuu uwe una sababisha kwa Mpesa coz tumiaka thirty ni twingi
 
Wakuu mi saiz nina kesi tayar mimba ya mwanafunz inakuwa ila kwao hawajua namimi spendi laana ya kumwambia atoe nasubili tu siku ya hukumu nipelekwe kwa herlode
Miaka.30..mtt atazaliwa.mpk anaanza jitegemea.mkuu.unakuwa.unasota.ndan

Tafakar na chukua hatua
 
Back
Top Bottom