Mwanamke kumsifia mwanamme mbele ya mme wake

Mwanamke kumsifia mwanamme mbele ya mme wake

Haha au umempakiza ktk corola inapita vogii anakwambia mwanaume huyo kapita.yaan talaka tu hapo bora ht amsifie mwanaume uzur klk amsifie mwenye hela ilhal we wa kipato ch kawaida.
Ah ah ah ah
 
Wanawake kwao ni rahisi sana na wanachukulia kawaida saana, tena watakuuliza maswali kama hayo hapo juu, 'Kwani nalala nae'. Ila ck moja jaribu kusifia mke mbele yake uone vurugu lake, ni sheedah. So kama wao hawapendi sijui kwann wao wanachukulia kawaida sana.
 
Sitosahau siku nilipoulizwa " kwa nini unapenda kuangalia sana Mpira wa miguu nikasema ukweli kutoka moyoni " napenda kweli kuangalia mapaja ya wachezaji" swali la pili likawa ya nani pale? Nikajibu si ya wote kilichofuata sitokisahau
 
Imategemea mnaishije. Kama anastahili hizo sifa kwa nn asipewe?
Mzuri apewe sifa zake, handsome apewe sifa zake mbele ya mke au mbele ya mume.
Haipunguzi wala.kuongeza penzi.
 
Ukiona hivo ujue ujue mkeo kaanza kukereka nawewe au amekuchoka au umemuudhi au amehisi humpendi hivo anakuangalia kama una wivu au vipi?au huyo jamaa amesha mgonga na mkeo anajua we humuwezi huyo jamaa kwa lolote ndio maana anakufanyia hivo.Ikitokea mkeo kakufanyia hivo hiyo ni alert anza kuwa jicho la tatu dharau zinaanza.
 
na wewe msifie mwanamke mwenzie, mwambie mzuri sna tena mwambie unasikitika kwanini uliwahi kuoa

Ukiwa na nia ya kuishi na huyo mwanamke hutakiwi kuwa na visasi kiasi hicho, plus, wanawake wana kero nyingi hutakiwi kuwa sensitive sana
 
Back
Top Bottom