Mwanamke jiandae kwa tendo la ndoa kwa kufanya haya

Sasa wale wanaopenda kuipiga kuanzia mlangoni hapohapo wakitokea kazini sa itakuwaje! Umeandaa maji akifika mkaoge wote….amefika sasa umpokee unashangaa kakudaka vifurushi kavitupia huko mara kakuinamisha kimtindo kabenua kinguo juu kichup pembeni….dudu yenyewe kaitolea kwenye zipu…..then ndo anaanza uliza kama umemuandalia maji tusio na mabomba ya kisasa bafuni…..inahitaji moyo sana….Kataa ndoa wanapointi😔
Hahahaha we dada😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenfanya nianze kufkiria hahaha 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha we dada😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenfanya nianze kufkiria hahaha 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🥴 ndo ivo
 
1. Mwanamke hakikisha tunda safii na limelimwa majani sio msitu mnene, huo ni uchafu pia.

2. Piga mswaki kabla ya tendo ili kuondoa harufu mbaya, mdomo utakuwa fresh.

3. Vaa nguo zako za mitego mitego kwaajili ya kumvutia mumeo. Nguo hizo ni kama night dresses kama mfano wa zilizotangukia hapo juu au unaweza kuvaa kanga laini, mtandio laini unaoonesha hadi ndani nk.

4. Jipake manukato mazuri mwilini mwako yasiokera kwa harufu kali au waweza jifukiza udi.

6. Mmeo akirudi mpokee kwa busu kisha mpelekee maji bafuni, andaa chakula. Akirudi mkaushe maji nae umpake manukato kisha avae msuli au pensi. Baada ya kula muombe apige mswaki kuondoa mabaki ya chakula kinywani na haru mbaya.

8. Panda kitandani uwe hata na pipi vile mdomoni raha mdomo unukiee vizuriii, hakuna kitu kinaudhi kama uko na mmeo kitandani anatoa harufu mbaya mdomoo au wewe kutoa harufu mbaya.

9. Tia mapambo ya kumvutia mumeo kama shanga, hereni, mkufu, wanja na kipini cha pua basi msubiri umchokoze na penzi murua.

10. Andaaneni na kuamsha hisia zenu mkiwa mnapeana haki kwa mikao tofauti kama vile DOGY STLY, KIBAO CHA MBUZI, KIFO CHA MENDE, MBUZI KAGOMA, CHUMA MBOGA huku vitaulo na maji ya uvuguvugu vikiwa karibu ili kujifuta baada ya tendo.
Duh! Hapa ngoja nipite kimya kimya
 
Point ya msingi hapo ni uoga na kupiga mswaki kabla ya show, mengine ni ziada sana.

Mambo ya kuingia kitandani mdomo unatoa harufu za ajabu ajabu huwa inakata stimu balaa.


Kuna demu nilishindwana nae kwasababu ya kutozingatia usafi hivi hivi. Analala hadi saa nne halafu watu tupo "couplecation" ile ya kujificha lodge wiki nzima. Demu anakunywa mawine kinywa kinakuwa na harufu ya pombe mixer hapigi mswaki sababu anakuwa kalala muda wote,chini nako kumevunda maana anaenda toi halafu haoshi mashine sasa kuna kuwa kama na kauvundo fulani hivi kanavumilika ila kanakera balaa aaah mimi nikashindwa bwana show nikaona sitaiweza hii wacha nikatishe.

Siku ya pili jioni nikaona isiwe shida tukakabidhi chumba cha watu tukasepa home. Akaniuliza si ulisema tutakaa wiki nikamwambia inabidi niende chuo fasta kuna fomu natakiwa kujaza za usajili wa mitihani.

Sijataka tena kukutana nae.
 
Point ya msingi hapo ni uoga na kupiga mswaki kabla ya show, mengine ni ziada sana.

Mambo ya kuingia kitandani mdomo unatoa harufu za ajabu ajabu huwa inakata stimu balaa.


Kuna demu nilishindwana nae kwasababu ya kutozingatia usafi hivi hivi. Analala hadi saa nne halafu watu tupo "couplecation" ile ya kujificha lodge wiki nzima. Demu anakunywa mawine kinywa kinakuwa na harufu ya pombe mixer hapigi mswaki sababu anakuwa kalala muda wote,chini nako kumevunda maana anaenda toi halafu haoshi mashine sasa kuna kuwa kama na kauvundo fulani hivi kanavumilika ila kanakera balaa aaah mimi nikashindwa bwana show nikaona sitaiweza hii wacha nikatishe.

Siku ya pili jioni nikaona isiwe shida tukakabidhi chumba cha watu tukasepa home. Akaniuliza si ulisema tutakaa wiki nikamwambia inabidi niende chuo fasta kuna fomu natakiwa kujaza za usajili wa mitihani.

Sijataka tena kukutana nae.
Uchafu hauvumiliki kabisa. ulifanya vizuri kumpotezea
 
GNPTzE-WsAEzVRU.jpg
 
Siku hizi mafundisho ya ngono ni mengi, utasema watu wameanza jana kungonoka, kumbe watu walianza migegedo tangu hata haina jina
 
Point ya msingi hapo ni uoga na kupiga mswaki kabla ya show, mengine ni ziada sana.

Mambo ya kuingia kitandani mdomo unatoa harufu za ajabu ajabu huwa inakata stimu balaa.


Kuna demu nilishindwana nae kwasababu ya kutozingatia usafi hivi hivi. Analala hadi saa nne halafu watu tupo "couplecation" ile ya kujificha lodge wiki nzima. Demu anakunywa mawine kinywa kinakuwa na harufu ya pombe mixer hapigi mswaki sababu anakuwa kalala muda wote,chini nako kumevunda maana anaenda toi halafu haoshi mashine sasa kuna kuwa kama na kauvundo fulani hivi kanavumilika ila kanakera balaa aaah mimi nikashindwa bwana show nikaona sitaiweza hii wacha nikatishe.

Siku ya pili jioni nikaona isiwe shida tukakabidhi chumba cha watu tukasepa home. Akaniuliza si ulisema tutakaa wiki nikamwambia inabidi niende chuo fasta kuna fomu natakiwa kujaza za usajili wa mitihani.

Sijataka tena kukutana nae.
Daah! Ni aibu kwa kweli kwanza walala je, bila kupiga mswaki duuh wanawake tunacha kujifunza hapa.

Usafi unanogesha mapenzi
😋
 
Back
Top Bottom