GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,646
Teh teh kwa Hiyo mkuu unatumia ile old style ya kama unaenda vitani hivi show ya kibabe?
Mambo yanabadilika mkuu huoni sasa hata Hiyo bundasliga haitawali dunia katika soka imebaki akili nyingi "total sex" ni kuposes muda wote pumzi ndefu dakika mia 20 upo tuu...
Hii ni kutokana na vijana wamekuwa laini saana so lazima tucopy tuendane na wakati kidogo.
Sema usipokuwa makini utaishia kuvaliwa headphones.
Mimi ' bandua ' yangu siku zote huwa ni ya ' Kibundesliga ' tu Mkuu na wenyewe ' wanakoma ' na Mimi na kushika adabu zao.
unajua kilifuata nini?next episode