Mbeya, Iringa,Rukwa,Mwanza,Shinyanga,Mara - ni mikoa inayoongoza kwa matukio ya ajabu ajabu nchi hii.
Haya ni baadhi ongezea na mengine unayoyajua wewe:
1. Kuchunana Ngozi
2. Kupigwa nondo za kichwa
3. Kuuwa wazee wenye macho mekundu
4. Imani kali za kishirikina
5. Mapigano ya kikabila/ kikoo
6. Kuuwa Albino na kukata viungo vyao
7. ......................
Hii mikoa yote ina fanana kwa kitu kimoja .....................