Mwanamke atamuheshimu mwanaume yupi kati ya hawa wawili?

mwanya2

Member
Jul 21, 2015
94
49
Katika ndoa kina swara la kutoa mahari sasa kuna utaratibu wa kuchangia mtu mchango wa mahari ili apeleke ukweni au kutafuta mwenyewe ukapeleka swari

Kijana wa kwanza akatumia nguvu zake na juhudi zake akapata mahari yote bila kupomba au kuchangiwa mahari hiyo na ndugu jamaa na marafiki akapeleka kwao mwanamke.

Kijana wapili akaomba michango ya mahari ili apleke kwao mke akatoa sasa kati ya hao vijana wawili ni yupi ataiheshimu na kuilinda ndoa yake na yupi ataheshimiwa zaidi na mkewe ni yupi atahesgimika zaidi kwa jamii husika?

Karibuni tujadili.
 
Kitu cha msingi ni wale wanaochumbiana wawe wanapendana. Sio lazima uangalie chanzo cha hizo fedha za kulipia mahari zimetoka kwa nani. Uwezo wa kimaisha haulingani kwa watu wote.
 
Hata kama amechangiwa mahari na ukoo mzima, mke atajuaje? Whats matter ni mahari. Hata kama ameiba mahali
 
Katika ndoa kina swara la kutoa mahari.
Sasa kuna utaratibu wa kuchangia mtu mchango wa mahari ili apeleke ukweni au kutafuta mwenyewe ukapeleka. Swari

Kijana wa kwanza akatumia nguvu zake na juhudi zake akapata mahari yote bila kupomba au kuchangiwa mahari hiyo na ndugu jamaa na marafiki akapeleka kwao mwanamke.

Kijana wapili akaomba michango ya mahari ili apleke kwao mke akatoa.

Sasa kati ya hao vijana wawili ni yupi ataiheshimu na kuilinda ndoa yake?
Na yupi ataheshimiwa zaidi na mkewe?
Ni yupi atahesgimika zaidi kwa jamii husika?

Karibuni tujadili.
Aliyetoa pesa yake ndiye mwamba hapo.
Kwanza unakuwa umewapunguzia mzigo ndugu.

Pia utakuwa umeifuta ile kauli ya "tumekuolea mke".
 
Mahari hulipwa kutokana na tamaduni husika wengne wanajiozesha wengne n lazma mahar itoke nyumban.. Sa hapo unajadili tamaduni au nn
 
Mahari hulipwa kutokana na tamaduni husika wengne wanajiozesha wengne n lazma mahar itoke nyumban.. Sa hapo unajadili tamaduni au nn
Lakini tamaduni za hivi zinapungua sana mkuu au unasemaje.
 
Sisi wanawake badhi yetu tuna maana basi?

Tunaweza pewa hiyo multiple choice a, b or c tukatoa jibu ni z.:D:D
 
Yule aliyechangiwa na jamii ataheshimika zaidi.
Maana anaonekana ni organizer mzuri anayeweza kuwashirikisha watu mambo na wakamuelewa na kumuunga mkono.
Huyu ana sifa ya kuwa kiongozi mzuri sana na katika ndoa mkewe atakuwa na uhuru wa kuelewa mipango ya mumuwe,

Anayejituma mwenyewe mpaka akaipata anaonekana ni mbinafsi na sio kiongozi mzuri, ana sifa za utawala na ubabe.
Ni mtu ambaye akiwa na kazi basi mshahara wake atakuwa anaujua mwenyewe.
Mkewe atakuwa wa kuachiwa tu buku 10 ya mboga juu ya meza, pesa inayobaki anajua mwenyewe anakoipeleka maana "yeye ndiye ni kichwa" cha familia
 
Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu. Mnachoangalia ni nani kafanya nini zaidi ya nani!
 
Katika ndoa kina swara la kutoa mahari.
Sasa kuna utaratibu wa kuchangia mtu mchango wa mahari ili apeleke ukweni au kutafuta mwenyewe ukapeleka. Swari

Kijana wa kwanza akatumia nguvu zake na juhudi zake akapata mahari yote bila kupomba au kuchangiwa mahari hiyo na ndugu jamaa na marafiki akapeleka kwao mwanamke.

Kijana wapili akaomba michango ya mahari ili apleke kwao mke akatoa.

Sasa kati ya hao vijana wawili ni yupi ataiheshimu na kuilinda ndoa yake?
Na yupi ataheshimiwa zaidi na mkewe?
Ni yupi atahesgimika zaidi kwa jamii husika?

Karibuni tujadili.
Ataeshimu ndoa yule alie ingia katka ndoa akitambua kua ndoa ni ibada. Tena ni ibada takatifu na msingi wake ni Mungu

Mwanamke atamheshi yule aliye mpenda kwa moyo wake bila kulazimishwa au tamaa ya kitu..

Usisahau kua mdada akikupenda kweli. Hata ukimlisha matembele kila siku atanenepa na bado atakuehimu
 
Ni kwel ila Mm nafkr Kuna baadhi ya mambo ya mahar yanamuhusu muoaji na mengne yana husu baba na mama
Japo kwel kutokana na kipato cha wazaz bas mtt anaweza kumpa mzaz hyo mahar akaiwasilishe na hyo Ndio heshima...
 
Ataeshimu ndoa yule alie ingia katka ndoa akitambua kua ndoa ni ibada. Tena ni ibada takatifu na msingi wake ni Mungu

Mwanamke atamheshi yule aliye mpenda kwa moyo wake bila kulazimishwa au tamaa ya kitu..

Usisahau kua mdada akikupenda kweli. Hata ukimlisha matembele kila siku atanenepa na bado atakuehimu
Good
 
Ni kwel ila Mm nafkr Kuna baadhi ya mambo ya mahar yanamuhusu muoaji na mengne yana husu baba na mama
Japo kwel kutokana na kipato cha wazaz bas mtt anaweza kumpa mzaz hyo mahar akaiwasilishe na hyo Ndio heshima...
Ok
 
Mjadara umekuwa mtam sasa
Yule aliyechangiwa na jamii ataheshimika zaidi.
Maana anaonekana ni organizer mzuri anayeweza kuwashirikisha watu mambo na wakamuelewa na kumuunga mkono.
Huyu ana sifa ya kuwa kiongozi mzuri sana na katika ndoa mkewe atakuwa na uhuru wa kuelewa mipango ya mumuwe,

Anayejituma mwenyewe mpaka akaipata anaonekana ni mbinafsi na sio kiongozi mzuri, ana sifa za utawala na ubabe.
Ni mtu ambaye akiwa na kazi basi mshahara wake atakuwa anaujua mwenyewe.
Mkewe atakuwa wa kuachiwa tu buku 10 ya mboga juu ya meza, pesa inayobaki anajua mwenyewe anakoipeleka maana "yeye ndiye ni kichwa" cha familia
 
Mimi nina swali huyo ndo wewe? na huyo ndo mkewako?
 
Back
Top Bottom