Mwanamke atakufikiria nini?

Mwanamke atakufikiria nini?

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,338
Wakuu,

Najaribu kuwaza kwa sauti nikimpeleka mpenzi wangu ghetto, nikamvua nguo zote tukaandaana huku bastola imesimama wima, kisha nikavaa nguo na kumpa nauli asepe na ni siku ya kwanza wewe kama mwanamke au mwanaume.

Unadhani huyu mdada atanionaje?
 
Hiyo kitu inawaumiza wanawake sana na ukitaka achanganyikiwe zaidi usimtafute tena na awe mtu ambae anakuona mara kwa mara
 
Siku ya kwanza wengi wanakataaga wenyewe labda siku ya pili.
 
Mkuu ukimfanyia hivyo huyo mwanamke, hatokusahau maishan mwake. Na akitoa hapo ni sawa na ng'ombe aliyekatwa kichwa.
Break ya kwanza kweny kioo.
 
Hebu fikiria wewe pia umemleta demu geto unamuaandaa analinika kila kitu ile kumchomeka tu anaghairi, huku akulalama mara ooh una dushe kubwa mara ooh unataka kunipa mimba afu anaahirisha, utajisikiaje wakati wewe rungu linataka kupasuka?

Mie imenikuta hiyo huyu demu simsahau, yaani toka mwezi wa kumi mwaka jana sijamtia machoni. Yaani ni hivi huyu mtoto alijipendekeza mwenyewe tukapatana aje maskani nimchenge, kweli kaja, mtoto mwenyewe mjanja alivyofika tu kaanza kunipapasa dushe kumbe anakagua volume yake hapo akaanza kusema mbona una dushe kubwa nikamwambia wewe acha maneno yako dushe kubwa unazijua?
Tukalainishana, then mi nikaanza kupekecha, mara kelele zikaanza (hizo juu nimeeleza) mara akaniambia kavae mpira (condom) ile kwenda kuvaa narudi zoezi akabatilisha., nilivyojaribu kumtekenya kakaza miguu yote nisipite, nikabembeleza lakini wapi nikachukia, naye akatishia kupiga kelele, nikamfukuza the same night.
 
mimi nadhani atakuona wewe unaongozwa na kichwa cha juu siyo cha chini kama wafikiliavyooooo wao kwamba hatuwezi control feelings zetuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom