Mwanamke atakuacha akiona mnafanana

Mwanamke atakuacha akiona mnafanana

Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela, kilasiku ana mawazo,yaan anakuambia Nina mawazo sana,Sasa kupiga cm MUDA WOTE Cha maana anaongea hakuna,mara umekula ? Kama vile alinipa hela,mara unafanya nini n.k
Akilituma li msg Hilo limoja hilooo,,, nakupenda pekeako, mwanamke wa maisha yangu nasafr na wewe Dunian na Mbinguni,I love you my mama nakupenda sana wewe YAANI li msg kama yupo mahakaman kaambiwa atoe maelezo kuhusu roboti Eunice,
Hiyo msg ataifoward kwenye namba zangu zote, nilimuacha.

Mwanaume gani unandikia msg kama essay huo muda unapata wap?
Wewe ni mwanamke au mwanaume??!
 
Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela, kilasiku ana mawazo,yaan anakuambia Nina mawazo sana,Sasa kupiga cm MUDA WOTE Cha maana anaongea hakuna,mara umekula ? Kama vile alinipa hela,mara unafanya nini n.k
Akilituma li msg Hilo limoja hilooo,,, nakupenda pekeako, mwanamke wa maisha yangu nasafr na wewe Dunian na Mbinguni,I love you my mama nakupenda sana wewe YAANI li msg kama yupo mahakaman kaambiwa atoe maelezo kuhusu roboti Eunice,
Hiyo msg ataifoward kwenye namba zangu zote, nilimuacha.

Mwanaume gani unandikia msg kama essay huo muda unapata wap?
Hivi ni mimi peke angu ambae sijaelewa comment yako?
 
Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela, kilasiku ana mawazo,yaan anakuambia Nina mawazo sana,Sasa kupiga cm MUDA WOTE Cha maana anaongea hakuna,mara umekula ? Kama vile alinipa hela,mara unafanya nini n.k
Akilituma li msg Hilo limoja hilooo,,, nakupenda pekeako, mwanamke wa maisha yangu nasafr na wewe Dunian na Mbinguni,I love you my mama nakupenda sana wewe YAANI li msg kama yupo mahakaman kaambiwa atoe maelezo kuhusu roboti Eunice,
Hiyo msg ataifoward kwenye namba zangu zote, nilimuacha.

Mwanaume gani unandikia msg kama essay huo muda unapata wap?
Sema tu point jamaa hakua na hela acha kuzunguka zunguka, anyway vipi wewe umekamilika? Hauna kasoro yoyote ambayo jamaa aliipotezea akakupenda jinsi ulivyo?
 
Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela, kilasiku ana mawazo,yaan anakuambia Nina mawazo sana,Sasa kupiga cm MUDA WOTE Cha maana anaongea hakuna,mara umekula ? Kama vile alinipa hela,mara unafanya nini n.k
Akilituma li msg Hilo limoja hilooo,,, nakupenda pekeako, mwanamke wa maisha yangu nasafr na wewe Dunian na Mbinguni,I love you my mama nakupenda sana wewe YAANI li msg kama yupo mahakaman kaambiwa atoe maelezo kuhusu roboti Eunice,
Hiyo msg ataifoward kwenye namba zangu zote, nilimuacha.

Mwanaume gani unandikia msg kama essay huo muda unapata wap?
Weekend yangu ina anzia hapa🤣🤣🤣
 
Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela, kilasiku ana mawazo,yaan anakuambia Nina mawazo sana,Sasa kupiga cm MUDA WOTE Cha maana anaongea hakuna,mara umekula ? Kama vile alinipa hela,mara unafanya nini n.k
Akilituma li msg Hilo limoja hilooo,,, nakupenda pekeako, mwanamke wa maisha yangu nasafr na wewe Dunian na Mbinguni,I love you my mama nakupenda sana wewe YAANI li msg kama yupo mahakaman kaambiwa atoe maelezo kuhusu roboti Eunice,
Hiyo msg ataifoward kwenye namba zangu zote, nilimuacha.

Mwanaume gani unandikia msg kama essay huo muda unapata wap?
We nawe hueleweki mwanzo wa uandishi ume act kama mwanaume mwisho kama mwanamke oyaa unaZingua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom