atapika wali au hiyo chai aloomba??? Loh ya rabbi nimekua mbeanext weekend ..ole wako utoe boko .. nitakufungilia uzi humu mpaka upaone ladha ya shubiri
Haaaa.sasa mbona tunatishana tena.next weekend ..ole wako utoe boko .. nitakufungilia uzi humu mpaka upaone ladha ya shubiri
Haha... Hasara unapata msosi hu enjoyUnaleta mahitaji nyumbani halafu unapikiwa hovyo ina kera mno
Mzee baba na wewe wataka?Unapatikana mkoa gani ?
Nataka nione mapishi yakoMzee baba na wewe wataka?
we're kuwa mbea sishangai ..ndio silka ya wanawake wa pwani umbea kwao sio sunna tu " wameufaNya kuwa faradhi kabisa..atapika wali au hiyo chai aloomba??? Loh ya rabbi nimekua mbea
ni vyema ujue mapema usije jinasibu kuwa wajua" kumbe waja kuni haribia mali ghafiHaaaa.sasa mbona tunatishana tena.
hehee " haya haya Au kuna ambayo umeyakusudiaNataka nione mapishi yako
hahahaha tena upate chai ilokamilika viungo waweza inywa chupa nzimawe're kuwa mbea sishangai ..ndio silka ya wanawake wa pwani umbea kwao sio sunna tu " wameufaNya kuwa faradhi kabisa..
kwanza nitataka Aanze kupika chai ikikosa viungo na jua hapa .. nimeingia cha kina Madame S
Si ndiyo,ni heri ugonge vyuku choma bar na yeye umchukulie take away kuliko unarudi nyumbani na njaa unakutana ni chakula hovyo kabisaHaha... Hasara unapata msosi hu enjoy
Hahaa nyie wanawake wa pwani acha kabisaa '' umbea nyinyi ..mahabati pia nyinyi " ukimpata bwana toka bara lazima akususie Hati ya nyumba''...hahahaha tena upate chai ilokamilika viungo waweza inywa chupa nzima
Kumbe umbea umefaradhishwa kwetu eeeh
Hahah utakuja kusimuliA hapa.ni vyema ujue mapema usije jinasibu kuwa wajua" kumbe waja kuni haribia mali ghafi
yNataka nione mapishi yako
hahaa ngoja tuandikie winoHahah utakuja kusimuliA hapa.
Aisee hapo umemkimbiza "..y
Karibu kwa hearly.
😀Aisee hapo umemkimbiza "..
hahaa roho mbaya hiyo ngoja dreka Aje "
Huyu dreka wacha awe mgeni mtazamajihahaa roho mbaya hiyo ngoja dreka Aje "