bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 468
Ni ajabu sana kwa miaka hii una weza kua na mpenzi, mchumba au mke ambae wote mnakua wababe.
Kitu ambacho zaman ilikua tofauti, tuna fahamu fika kuwa mwanamke ameumbwa kuwa mnyenyekevu nahisi hichi ndicho kivutio kwa mwanaume, mwanamke mpole na msikivu.
Niulize swali, mwanamke anaemtishia mwanaume maisha wewe una mchukuliaje?
Kitu ambacho zaman ilikua tofauti, tuna fahamu fika kuwa mwanamke ameumbwa kuwa mnyenyekevu nahisi hichi ndicho kivutio kwa mwanaume, mwanamke mpole na msikivu.
Niulize swali, mwanamke anaemtishia mwanaume maisha wewe una mchukuliaje?