Mwanamke anapenda mbishane

Mwanamke anapenda mbishane

Mimi huwa napenda sana mwanamke anapokasirika ili baadae nianze kumbembeleza, yaani hata akasirike vipi na machozi yake baadae anaanza kutabasamu na kucheka mwenyewe.

Kwa upande wangu huwa naona Raha sana

Heheee daah akyamungu!!
 
Mimi huwa napenda sana mwanamke anapokasirika ili baadae nianze kumbembeleza, yaani hata akasirike vipi na machozi yake baadae anaanza kutabasamu na kucheka mwenyewe.

Kwa upande wangu huwa naona Raha sana

Hahahaaaaa
 
Hilo lina ukweli, ikiwezekana ubishi ukikolea vzuri unamchapa hata vibao then baadae mnaelewana mambo yanakua byeee. Hahaaaaaa
 
Ikitokea Wew unapenda iwe hivyo yeye hapendi inakuwaje labda
 
Ubishi sipendi kwa kweli manake najielewa.
Yaani akianza kubishana natafuta tu safari.
 
Back
Top Bottom