Mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba ?

Mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba ?

Nimekua nikiona watu mbalimbali wakilalamika kwamba wanayimwa unyumba na wake zao, sasa huwa najiuliza mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba kama hayupo kwenye menstruation cycle.

Binafsi hata nimpende vipi mwanamke akininyima unyumba aiseeeee lazima nimtoe kwenye system unless otherwise awe kwenye siku zake tu.Mwanamke kama anakunyima unyumba na hayupo kwenye siku zake jua kwamba kuna mwenzako anakula kiulainiiiiii.

Kama mwanamke anakunyimma tunda bila sababu ya msingi piga chini chalii angu, asikuletee mambo za kisolo.

Ni hayo tu
nikuulize swali ushaoa?
 
Kunyiwa unyumba kuna sababu
1.inaezekana mwanaume huyajui mapenzi ko mwanamke anakosa stimu na ww na utakuta mara nyingi anakukwepa kwa visingizio mbalimbali.kwa mfano ukiwa na mwanamme anayewah kupiz unaeza ona kama anakusumbua na automatically inapoteza hamu imagine unafanya mapenzi unapoanza kunogewa tu ye keshamalza hyo hall ikiendelea mambo yanakuwa kama hvo au wale wanaume wanabaka wake zao(hakuna hata romance ye anafika na kukuvamia tu bla kukuandaa )maana yake hutoenjoy sex na sku ingine lazima uanze kutafta sababu
2.inaezekana hyo mwanamke anapata huduma sehemu ingine ko haina haja ya ww kumhudumia
3.inaeza kuwa suala mind ikitokea hayuko sawa labda kuna mambo fulan n lazma awe hvo
NOTE:ukiona mke wako yuko hvo tafta sababu utaijua tu lakn wengi wao n kukosa hamu na wenza wao
 
Kuna wanaume hawako romantic yan hajui mapenz ko sku zingine unamkwepa kiaina sa kama mtu anapiga kamoja chal ya nn kujitia shombo s namkwepa tu
 
Aaah Yani ninyimwe papuchi kabisa!!!haiwezekani
 
Kuna ka point hapa tuache utani mwanamke akianza kutoka nje unyumba kuupata ni mtihani
 
wife nikimkosea haninyimi ila ananisusia..!!
ananipa huku kanuna!
 
Nimekua nikiona watu mbalimbali wakilalamika kwamba wanayimwa unyumba na wake zao, sasa huwa najiuliza mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba kama hayupo kwenye menstruation cycle.

Binafsi hata nimpende vipi mwanamke akininyima unyumba aiseeeee lazima nimtoe kwenye system unless otherwise awe kwenye siku zake tu.Mwanamke kama anakunyima unyumba na hayupo kwenye siku zake jua kwamba kuna mwenzako anakula kiulainiiiiii.

Kama mwanamke anakunyimma tunda bila sababu ya msingi piga chini chalii angu, asikuletee mambo za kisolo.

Ni hayo tu
Una muda gani Kwenye ndoa?
 
Nimekua nikiona watu mbalimbali wakilalamika kwamba wanayimwa unyumba na wake zao, sasa huwa najiuliza mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba kama hayupo kwenye menstruation cycle.

Binafsi hata nimpende vipi mwanamke akininyima unyumba aiseeeee lazima nimtoe kwenye system unless otherwise awe kwenye siku zake tu.Mwanamke kama anakunyima unyumba na hayupo kwenye siku zake jua kwamba kuna mwenzako anakula kiulainiiiiii.

Kama mwanamke anakunyimma tunda bila sababu ya msingi piga chini chalii angu, asikuletee mambo za kisolo.

Ni hayo tu

Mkuu nakushauri upande super feo ndio mabasi ya kuaminika kwa safari za songea dar

pia upande yale mabasi yanayopitia Lindi ..Masasi...Tunduru...utafika mapema ...na hutochoka...


yap...ilisha nitomea hiyo nilipo gundua nilimsuprise nilioa mwanamke mwingine ambaye alikua kila nikimuhutaji ananipa....sijui huko aliko ananionaje ila ..najua anajuta
 
Kwa hiyo nikufume na vimesg afu nikupe kikopa changu,,??? Thibutuuuu..navaa jinzi nachomekea na mkanda ndo nalala
 
Kama hajisikii kufanya labda kutokana na sababu za kuchoka,stress e.t.c ana haki ya kukataa kufanya!...Hata mwanaume pia ana haki ya kukataa kufanya kama hajisikii,kwa mfano mimi jana jioni single maza wangu alinivamia tufanye ila nilikataa kwa sababu kazini huko nilirudi nikiwa na stress zangu!
 
Kama hajisikii kufanya labda kutokana na sababu za kuchoka,stress e.t.c ana haki ya kukataa kufanya!...Hata mwanaume pia ana haki ya kukataa kufanya kama hajisikii,kwa mfano mimi jana jioni single maza wangu alinivamia tufanye ila nilikataa kwa sababu kazini huko nilirudi nikiwa na stress zangu!
Ana chura?
 
Kawaida tanesco wakikata umeme hawakuzuii kutumia generator. Tafuta mchepuko bro
 
Kuna kitu kinaitwa non verbal communication au body language. Mtu ambaye mmezoeana unalala naye kitanda kimoja kwa muda mrefu unajua kabisa huyu ana sababu za msingi au ni uchoyo au keshachoshwa sehemu nyingine
Iliwahi kunitokea kuna Mwanamke alinikatalia akanionyesha yale mabendeji yao na kwa sababu I was smart in counting her days bila yeye kujua na alikuwa almost 2 weeks to come ndio aanze tena. Nikaendelea zaidi ya Ruba akalitoa bendeji nikala mzigo saafi kabisa
Lakini zaidi ya mwaka bado najiuliza kwanini aliamua kufanya vile basi toka siku ile naishi naye kama nyoka
Kuna mwengine alinizingua sikuongea nae nikaenda kuoga nikawa natafuta viwalo akaniuliza unaenda wapi nikamwambia naenda kwa rafiki yangu Said
Basi ile nataka kutoka mlangoni tuu nikavutwa shati nikapewa mzigo mpaka baasi
Tena nasikia wengine siku hizi yale mabendeji yao wanayapaka Tomato Source
Hivi wanawake hawajui kama vitabu vyoote vya dini vimekataza kunyimana
Lakini kwa Wanaume wenzangu mwanamke ukiona anaanza upumbavu huo huenda ikawa NI ALAMA kubwa kwamba unasaidiwa
Kuna mwingine nilirudi usiku nikaomba mzigo nikanyimwa nika force kingi akakakimbilia chumba cha house girl
Hamadi kasahau simu chumbani kwetu. Mautumbo niliyoyakuta Mungu ndio anajua
 
Back
Top Bottom