Nimekua nikiona watu mbalimbali wakilalamika kwamba wanayimwa unyumba na wake zao, sasa huwa najiuliza mwanamke anaanzaje kukunyima unyumba kama hayupo kwenye menstruation cycle.
Binafsi hata nimpende vipi mwanamke akininyima unyumba aiseeeee lazima nimtoe kwenye system unless otherwise awe kwenye siku zake tu.Mwanamke kama anakunyima unyumba na hayupo kwenye siku zake jua kwamba kuna mwenzako anakula kiulainiiiiii.
Kama mwanamke anakunyimma tunda bila sababu ya msingi piga chini chalii angu, asikuletee mambo za kisolo.
Ni hayo tu