Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,435
Kweli anatunga story anashindwa kuweka mtiririko kuficha uongo wake.
stori yako inatia mashaka, manake mtu mwenye mumewe umeishi nae kipindi chote hicho mpaka anajifungua huyo mumewe alikuwa wapi? au walikuwa wametengana? na kwa maelezo yako wakati mnaanzi mahusiano hiyo 2013 wewe ulikuwa na miaka 22 sasa yeye atakuwa na miaka mingapi? na pia umesema mwaka 2014 ndo alipata ujauzito, sasa nikipiga mahesabu huu ndo kwanza mwenzi wa 9 sasa wewe unasema mtoto alishazaliwa na ana miezi 4, kwa kweli nimeshindwa kukupata