Mwanamke amenisaliti

Mwanamke amenisaliti

Duhhh!!io kali.Fanya kuomba sanaa,Mwenyez Mungu atakupa mwanga.
 
pole sana! ulipokataa mimba hukujua utamu wa mtoto.sasa unaujua utamu wa mtoto unakataliwa wewe!ni malipo tu ya dhambi.mrudie mola wako tubu! kuhusu mtoto wako au sio wako nendeni mkapime hosp.
 
Habari wapendwa♡♡♡
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23:
Mnamo mwaka 2013 mwezi wa 9 nilianza mahisiano ya mapenzi ♥♥ na msichana wa kikwere mixer na mlugulu;
Ilipofika mwaka 2014•• aliniambia kuwa ana ujauzito wangu,,
Nilikataa!! Akasema" Lengo langu ni kuzaa na wewe? Nilikataa kutokana na hali yangu ya maisha sio nzuri,,
!
Akaniambia" usijali!!mimi nitajihudumia mwenyewe,, niliamini hivyo kutokana na hali nzuri ya maisha aliyokuwa nayo••
Tukaendelea hivyo siku zote.. nikampeleka kwetu→→wazazi wangu wakamfahamu%
Tuliishi wote wakati wote.. mpaka akajifungua mtoto wa kike▶▶▶ nilifurahi sana kwa mara ya kwanza kuitwa baba. Tukawa wote mpaka mtoto alipofikisha miezi minne▶▶



"Mnamo siku ya jumamosi akaniaga anakwenda kwao kuna ngoma☆☆ nilimruhusu kiroho safi ( kumbe sikujua ) ndio ikawa hivi???


Nikiwa natambua kuwa mwenzangu yuko kwao kwenye ngoma¤¤
Siku moja usiku nilipiga simu▲▲ ikapokerewa na mwanaume ambaye alijitambulisha kama mume wake◇◇
Sikuweza amini mpendwa♡♡ nilikata simu kwa hasira..
Nikampigia simu tena akaniambia" mimi huyu ni mke wangu nimemuoa kwa ndoa→→ nikamwambia mimi ni mzazi mwenzangu,,



Mume wake akamwambia" aongee na mimi↓↓ lakin yeye akakataa:
Ila mume wake akaniambia" tuweke kikao juu ya hili¿?

Kikao kilitishwa yule mwanamke akauliza" mtoto ni wa nani? Akajib" mtoto niwa mume wake (unfaithful for me ) mimi niliondoka coz alikuwa tayari ameshanikana→→→ kumbe yule mwanamke alikuwa ameolewa tangu mwaka 2009: hakubahatika kupata mtoto,,

Baada kikao kuisha akanipigia simu na kuniambia kuwa yule mtoto ni mwanangu♡♡♡ nilikataa na nikamwambia"asinipigie simu tena××××× mpaka sasa ananisumbuaaa▪▪▪


Ndugu zangu wapendwa nifanye nini?
Naombeni ushauri wenu♡♡♡♡

saana umefosii maapeenzii mpaka leo unaona huyawezi,kama ushawahi kutendwa si upite mbele
 
una uhakika gn kama mme mwenzio hana mbegu?akili mukichwa kjn.
 
huyo mwanamke kawaona nyie ni wadhaifu hivyo anawafanya anachojisikia...
 
Haha! Sasa wewe unajua mimi haiingii akikini kabisa kwamba uliishi nae kama mume na mke, na iweje yule mumewake muda wote huo asimtafute mkewe..
Mkuu hii ni umetunga ama nini:what:
 
Haha! Sasa wewe unajua mimi haiingii akikini kabisa kwamba uliishi nae kama mume na mke, na iweje yule mumewake muda wote huo asimtafute mkewe..
Mkuu hii ni umetunga ama nini:what:

pamoja mkuu kama katunga
 
Ngoja nilale nikiamka kama uzi utakuwepo nitachangia au vp waungwana!
 
Utunzi wako hauna mashiko, ulipokuwa unaishi naye km mke mmewe alikuwa likizo ya ndoa ya mda mrefu au?
Anyway, waache na ndoa yao tafuta demu mwingine piga mimba oa, safari hii kuwa makini na uoe rasmi hadi mahari utoe!
 
Pole sana badili namba ya simu kichwa kitulie kwanza.
 
stori yako inatia mashaka, manake mtu mwenye mumewe umeishi nae kipindi chote hicho mpaka anajifungua huyo mumewe alikuwa wapi? au walikuwa wametengana? na kwa maelezo yako wakati mnaanzi mahusiano hiyo 2013 wewe ulikuwa na miaka 22 sasa yeye atakuwa na miaka mingapi? na pia umesema mwaka 2014 ndo alipata ujauzito, sasa nikipiga mahesabu huu ndo kwanza mwenzi wa 9 sasa wewe unasema mtoto alishazaliwa na ana miezi 4, kwa kweli nimeshindwa kukupata
 
Hii huwa Inatokea Bongo tu
#Bongobound

stori yako inatia mashaka, manake mtu mwenye mumewe umeishi nae kipindi chote hicho mpaka anajifungua huyo mumewe alikuwa wapi? au walikuwa wametengana? na kwa maelezo yako wakati mnaanzi mahusiano hiyo 2013 wewe ulikuwa na miaka 22 sasa yeye atakuwa na miaka mingapi? na pia umesema mwaka 2014 ndo alipata ujauzito, sasa nikipiga mahesabu huu ndo kwanza mwenzi wa 9 sasa wewe unasema mtoto alishazaliwa na ana miezi 4, kwa kweli nimeshindwa kukupata

I'm sorry best for prove me wrong▶▶
Mnamo mwaka 2013 alipata ujauzito mwezi wa tisa
 
Back
Top Bottom