Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 471
- 197
Natafuta aliye tayari kuolewa ila siwezi kukuoa leo, lazima nikufahamu zaidi na wewe unifahamu. Baada ya kila mtu kuridhika ndio tupange mikakati ya harusi.
Kiukweli mimi nina miaka 25 ila kwa yeyote atakayevutiwa kuwa na mimi ana karibishwa PM.
Mimi nimejiajiri poa nina elimu nzuri tu najitegemea naishi Dar pia ni mkristo.
Nahitaji mwanamke anaejielewa na na aliyejiajiri au kuajiriwa awe tayari kuishi na mimi.
ELIMU NA MIAKA SIO KIGEZO KIKUU ILA MUHIMU NI HESHIMA NA UPENDO WA DHATI.
Karibuni wote alie serious aje PM.
Kiukweli mimi nina miaka 25 ila kwa yeyote atakayevutiwa kuwa na mimi ana karibishwa PM.
Mimi nimejiajiri poa nina elimu nzuri tu najitegemea naishi Dar pia ni mkristo.
Nahitaji mwanamke anaejielewa na na aliyejiajiri au kuajiriwa awe tayari kuishi na mimi.
ELIMU NA MIAKA SIO KIGEZO KIKUU ILA MUHIMU NI HESHIMA NA UPENDO WA DHATI.
Karibuni wote alie serious aje PM.