Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,881
Bibie mmoja yamemkuta sasa kwenye ndoa,aliaga December anakwenda Zanzibar,kapelekwa mpaka Bandarini kiasi Kubwaa amerudi nyumbani mume.
Anashika novel anaona risiti za malipo ya Lodge ya Mbeya two weeks. Ukisoma tarehe kaingia nextday siku alioagwa bandarinii saivi mkituaga tutakua tunaomba na tiketi zenu na reserve mlizofanya kwa ajili ya malazi.
Anashika novel anaona risiti za malipo ya Lodge ya Mbeya two weeks. Ukisoma tarehe kaingia nextday siku alioagwa bandarinii saivi mkituaga tutakua tunaomba na tiketi zenu na reserve mlizofanya kwa ajili ya malazi.