Mwanamke akiwezeshwa

Valle jambo lolote mwanamke anaweza na mwqnaume anaweza pia

Hiyo siyo kweli kwa kila kitu.

Sijawahi kuona wala kusikia mwanamke ana au ka bench press 600 lbs.

Kama yupo, nitajie.

La sivyo kauli yako inahitaji qualification.

Unajua hata bench press ni nini?
 
Nimekuelewa kwamba kwa mtazamo wako dhana "kuwezeshwa" ni kutengenezewa mazingira rafiki ili kurahisisha njia ya kufika hatua moja mbele...
 
Nimependa hapo "wanawake tukiamua tunaweza" na ninakubaliana na wewe kwamba tunaweza maana uwezo tunao ni kutia nia tu.

Wapo wanaume wenye mfume dume kwamba mwanamke ni mtu wa chini na mwisho wake ni majukumu ya nyumbani. Hao unawaambiaje?
 
Nimekupata vema bibie,hivyo wale wanaodhani kuwezeshwa ni kushikwa mkono ama kubustiwa kwa namna yoyote waache dhana hiyo na badala yake watoe uhuru na nafasi ili kuonyesha ufanisi zaidi.
 
Tatizo fikra,ukibadili fikra na mtazamo kila kitu kinawezekana
Nakubaliana nawe kila kitu kinaanzia kwenye fikra hivyo nanyi mkituamini na kutupa nafasi na uhuru tunaweza kusababisha maendeleo makubwa tu....

Heri ya mwaka mpya,nafurahi kukuona umetoka huko pangoni
 
Si kweli kwmaba mwanamke asipowezeshwa hawezi. Ni ile dhana tu ya utegemezi na kuwezeshwa ambayo tumejiwekea hasa sisi wa Afrika ndio inayotufanya tuone kuwa mwanamke bila ya kuwezeshwa hawezi.
Inabidi hiyo dhana tuachane nayo,tuone tunaweza kufanya mambo kwa uhuru na utashi sahihi
 
Ha haa kuturudisha nyuma tena jamani! Tunaweza na hakika tunaweza
 
Kama ni demu sikilizaa...

Kama una swali ulizaa...

Hata kama sijamalizaa aaaaaa sikilizaaa...
 
Nyie hamjaelewa maana ya mwanamke akiwezeshwa. Nadhani mmeelewa vibaya ,
 
Katika slogan mbaya kuwahi kutumika, basi hii ni mojawapo. "Mwanamke akiwezeshwa anaweza", maana nyingine ni kuwa, "Mwanamke asipowezeshwa hawezi"

Ni kweli akiwezeshwa anaweza.
Kuna jamii ziliamini mwanamke hawezi ndio maana hata hakupelekwa shule.

Lakini imethibitisha kua wakiwezeshwa wanaweza. Kwa maana akipewa nafasi ya kusoma anaweza kufanya vizuri (utajuaje uwezo wake darasani na atatokaje kitaaluma bila 'kupelekwa ' shule?

Kwenye nafasi za uongozi akiwezeshwa pia anaweza. Kama msipompa nafasi mtaonaje uwezo wake?

Kupewa nafasi ndio kuwezeshwa. Ina maana walikua wanawezeshwa wanaume tu, wanawake hawakupewa nafasi.

Sasahivi kwenye elimu tunaenda vizuri bado kwenye uongozi na tatizo na fikra mgando.

Narudia... KUWEZESHWA NI KUPEWA NAFASI/FURSA.
 
anzisheni kampeni ya kupinga ''mkiwezeshwa mnaweza'' mje na mwanamke anaweza.....na muache kuomba omba vocha...

Atawezaje bila kuwezeshwa?
Hata mwanaume akiwezeshwa ndio ataweza, kumbuka kampeni za Urais hao wanaume wenyewe walikua na wawezeshaji ili kufanikisha.

Kuweshwa ni kujengewa uwezo ili kufikia malengo.
 
Nakubaliana nawe kila kitu kinaanzia kwenye fikra hivyo nanyi mkituamini na kutupa nafasi na uhuru tunaweza kusababisha maendeleo makubwa tu....

Heri ya mwaka mpya,nafurahi kukuona umetoka huko pangoni


Nawe pia hero ya mwaka mpya my long time mchepuko,the issue is siyo sisi wa kuwapa nafasi but ni nyie wenyewe kuwa kufanya uamuzi wa kuweza.asilimia kubwa ya wadada wana ile mentality kwamba kuna mtu lazima awafanyie kitu flani.mfano mdada hajishughulishi kutafuta pesa but anawaza lazima apewe na boyfriend.mfano mzuri ni hawa dada zako masupa star wa bongo,wanaishi cosmetic life,yaani kila mmoja anajiona yuko juu but in real sense she got nothing.hatafuti anasubiri leo ahongwe hiki,kesho ananyang'anywa etc,hachukui step kutafuta vyake,mawazo yake ni lini ampate kozo okamoto ili amuweke mjini,afikirii age inaenda na after 10yrs atakuwa 35 or beyond sasa nani atamtaka tena wakati hapa mujini vidada vinachepukia kila leo.where will they stand after 20yrs?vingine vidogo hata 25yrs havina hata form 2 havikufika sasa una imagine vitakuwa na future ua aina gani?

N'way you guys,you ladies have to free your mentality otherwise ever mtasubiri na hizo fikra za mtu aje kuwawezesha ndo muweze
 


kuwezeshwa kimsingi wa familia kunafanyika kwa wote,wakiume na like.kama ni elimu,biashara etc but why you guys think need special antention?
 
Kataeni viti maalum... hakika hii kauli itatokomea.

Swali ni kwamba.... mtakubal;i??

Kitu kingine.... mwanamke asipowezeshwa atapata mimba??
 
Kataeni viti maalum... hakika hii kauli itatokomea.

Swali ni kwamba.... mtakubal;i??

Kitu kingine.... mwanamke asipowezeshwa atapata mimba??
Hahahahhaah shemeji langu hiloooo ........duhhh na mwanaume asipowezesha atampa nani mimba???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…