Mwanamke akikupenda...

Utajuaje kama huyu anakupenda nusu
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kama mnayajua yote hayo.......kwa nini huwa mnatukorofisha......?</span></font></font>
<br />
<br />
pretaaaa,hata njiwa hukorofishana mama,,,,,,,ila mwanamke akipenda,,,,,,,,,,
 
Nami nahitaji kupendwa ili nije kureply hii topic maana wengne hatujui ht kupendwa kukoje
 
baelezee! au ukiweka limao kwenye maziwa fresh! utakula mtindi aisee, japo inauma!

Mapenzi ni kama limao...ukiweka pale panapostahili linanoga...ukidondoshea kwenye kidonda imekula kwako!!
 
<br
r kelly,when a woman fedUp
 
kinda strange reverend, lakini eti mi hudhani the less the money a man has, the more loving he can be! na staki kusahihishwa! mkpataga hela u play hard to get!

Unaishi wapi wewe! Pesa ni sabuni ya roho, ukiwa nazo basi mapenzi hunoga zaidi.....kama wewe ni Kapuku basi kubali kumegewa na wenye nazo and .............malizia
 
symptom number 1: Mwizi wa mapenzi siku zote anajichekesha chekesha mchana na kuleta viromance uchwara, ikifika usiku wakati wa gemu anajifanya anaumwa na kichwa.
<br />
<br />
Dahhhhhhh
Utabidi ubadulishe music
Sasa hivi ni mchana tu ...
Usingoje usiku maana wajua ataumwa..
 
symptom number 1: Mwizi wa mapenzi siku zote anajichekesha chekesha mchana na kuleta viromance uchwara, ikifika usiku wakati wa gemu anajifanya anaumwa na kichwa.
Basi wewe hujakutana na majambazi ya mapenzi, na usiku yana perform tu they dont give a damn
kuna wanawake wamepinda hapa mjini, ukiwa masalon na sehemu za kusukia ndio utajua kwamba
wamepinda.kwa mtaji huu unaeza ishia umzanie sie ndie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…