Utajuaje kama huyu anakupenda nusuLove rollercoaster: Kuna wanawake wengine wakipenda basi wanapenda sana ila ukiamua kuwapenda zaidi ya wanavyokupenda wanakugeuzia kibao na unakuwa msukule wa mapenzi (source: Mbu JF).
Warning: ogopa mwanamke mwenye mapenzi sana, kwani akizuzuliwa na akapenda nje ya ndoa yako basi hapo ndo utajua kwanini kikwete anaitwa rais!
Nimemaliza
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kama mnayajua yote hayo.......kwa nini huwa mnatukorofisha......?</span></font></font>
<br />Na ukipenda usipopendwa, balaa lake ........
Mapenzi ni kama limao...ukiweka pale panapostahili linanoga...ukidondoshea kwenye kidonda imekula kwako!!
<brBAK, hebu tafadhali nishushie lyrics za 'strength of a woman' na 'when a woman is fed up', za zamani bt nadhani was shaggy boy!<br />
unajua hata mi nashangaa where the heck do i get all the energy to love and serve a man diligently,lol! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S kiss.gif" border="0" alt="" title="A S Kiss" smilieid="113" class="inlineimg" /><br />
ila akikukorofisha, hata kumtabasamia unaskia exhausting!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S-omg.gif" border="0" alt="" title="A S Omg" smilieid="82" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/boom.gif" border="0" alt="" title="Boom" smilieid="134" class="inlineimg" />
Kama wallet yako imekonda na huna "potentials" zingine sahau kupendwa
<br />Mapenzi ni kama limao...ukiweka pale panapostahili linanoga...ukidondoshea kwenye kidonda imekula kwako!!
<br />Kama wallet yako imekonda na huna "potentials" zingine sahau kupendwa
symptom number 1: Mwizi wa mapenzi siku zote anajichekesha chekesha mchana na kuleta viromance uchwara, ikifika usiku wakati wa gemu anajifanya anaumwa na kichwa.Utajuaje kama huyu anakupenda nusu
kinda strange reverend, lakini eti mi hudhani the less the money a man has, the more loving he can be! na staki kusahihishwa! mkpataga hela u play hard to get!
umemaliza au utaendelea?Duhhhhh..
Unaishi wapi wewe! Pesa ni sabuni ya roho, ukiwa nazo basi mapenzi hunoga zaidi.....kama wewe ni Kapuku basi kubali kumegewa na wenye nazo and .............malizia
<br />
<br />
So nisitegemee kbc kupendwa..kweli mapenzi ni pesa
<br />symptom number 1: Mwizi wa mapenzi siku zote anajichekesha chekesha mchana na kuleta viromance uchwara, ikifika usiku wakati wa gemu anajifanya anaumwa na kichwa.
baelezee! au ukiweka limao kwenye maziwa fresh! utakula mtindi aisee, japo inauma!
Basi wewe hujakutana na majambazi ya mapenzi, na usiku yana perform tu they dont give a damnsymptom number 1: Mwizi wa mapenzi siku zote anajichekesha chekesha mchana na kuleta viromance uchwara, ikifika usiku wakati wa gemu anajifanya anaumwa na kichwa.
Acha kudanganya kondoo...