STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,262
Mwanamke akikupenda, anapenda kweli na akikudanganya anakudanganya kwelikweli nje ndani. Mwanamke akikupenda, hata uwe dereva wa
bodaboda yeye ataona amepanda hummer, atakukumbatia kwa mahaba nyuma ya kibodaboda chako na kula vumbi lote na upepo, mahaba yamempofusha na kila kitu kwake ni kawaida na it doesnt matter maadam anakupenda hilo latosha.
Mwanaume akikupenda ni tofauti, kama ni dereva wa bodaboda haoni hummer, anaiona bodaboda kama ilivyo. Na hapa ndo tofauti inapojia.
Swali:
Je, Hawa wanawake wa kizazi cha Blackberry wanapenda kweli siku hizi? Nina wasiwasi badala ya kupofushwa na mahaba hela zimeovertake na
zimewapofusha kabisa. Hongera kwa wanawake wote wa kweli, ambao mkipenda mnapenda kwa dhati, achaneni na hizi nungayembe hela mbele.com, endeleeni kutupenda, tukiliona pendo huwa tunali-value.
bodaboda yeye ataona amepanda hummer, atakukumbatia kwa mahaba nyuma ya kibodaboda chako na kula vumbi lote na upepo, mahaba yamempofusha na kila kitu kwake ni kawaida na it doesnt matter maadam anakupenda hilo latosha.
Mwanaume akikupenda ni tofauti, kama ni dereva wa bodaboda haoni hummer, anaiona bodaboda kama ilivyo. Na hapa ndo tofauti inapojia.
Swali:
Je, Hawa wanawake wa kizazi cha Blackberry wanapenda kweli siku hizi? Nina wasiwasi badala ya kupofushwa na mahaba hela zimeovertake na
zimewapofusha kabisa. Hongera kwa wanawake wote wa kweli, ambao mkipenda mnapenda kwa dhati, achaneni na hizi nungayembe hela mbele.com, endeleeni kutupenda, tukiliona pendo huwa tunali-value.