Wakuu habari zenu, naomba kuuliza hv kwel mwanamke ambaye amekusaliti na akaomba msamaha kweli anaweza badilika asirudie tena?? Na hapo ni amekuwa na mpango wa kando kwa zaidi ya miaka mitatu unamkamata ndo anaomba msamaha
Ni kama ilivo kwa wanaume..mwingine anaomba msamaha na anabadlika kabisa...lakini mwingine ndo tabia yake habadiliki....ndo maana nkasema inategemea ntu na ntu
Ni kama ilivo kwa wanaume..mwingine anaomba msamaha na anabadlika kabisa...lakini mwingine ndo tabia yake habadiliki....ndo maana nkasema inategemea ntu na ntu
Kusema ukwel namm ndo kinachoniumiza kichwa coz walikuwa wanashiriki kila kitu cha mapenz...na wakat huo mm npo wilaya nyingine ila najitahidi sana kumtembelea at least every weekend...halaf mbaya zaidi jamaa linanijua vzur