kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Habarini wana jamvi wa MMU. Natumai ni wazima wa afya.
Kuna jambo moja la muhimu Sana, no ukwel usiopingika kwamba kwenye mahusiano kuna mabonde na milima.lakini ukiona mwanamke (mpenzi wako) kaanza dharau za hapa na palee juaa hapo tayaarii hakuna jambo, japo wengine huwa wanapima upepo wakuone utafanya nini.
Dharau ni kitu kibaya Sana nakushauri kabla halijakukuta jambo ambalo hata wajukuu zako utashindwa kuwasimulia ni bora uachane tu na huyo manzi.
NB: Sometimes makofi mawili matatu yanasaidia.
Kuna jambo moja la muhimu Sana, no ukwel usiopingika kwamba kwenye mahusiano kuna mabonde na milima.lakini ukiona mwanamke (mpenzi wako) kaanza dharau za hapa na palee juaa hapo tayaarii hakuna jambo, japo wengine huwa wanapima upepo wakuone utafanya nini.
Dharau ni kitu kibaya Sana nakushauri kabla halijakukuta jambo ambalo hata wajukuu zako utashindwa kuwasimulia ni bora uachane tu na huyo manzi.
NB: Sometimes makofi mawili matatu yanasaidia.
