mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
Dah Hizi sasa dharauKila mtu anaukichaa ila ukichaa utokea kwa nyakati. Binafsi siwapendi baadhi Trafick kabisa, wapo barabarani kuonyesha wao ni bwana wakubwa. Kuna trafick barabarani eti ananiambie ndio nimebarehe mbele ya mama mkwe na kejeri nyingi. Hivi kama niwewe unamfanyaje hapo? Niliondoka lakini mpaka leo huwa naumia sana.