GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 15, 2014 #41 Salamander said: i Mlevi tu huyo, akikushtukia atakufanya nini mtu kaisha kwa gongo huyo. Tena wapo wengi tu huko uswahilini wanalitia aibu jeshi, wao kutwa kushinda kwenye chibuku tu, sijui mazoezi wanafanya saa ngapi! Click to expand... Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA.
Salamander said: i Mlevi tu huyo, akikushtukia atakufanya nini mtu kaisha kwa gongo huyo. Tena wapo wengi tu huko uswahilini wanalitia aibu jeshi, wao kutwa kushinda kwenye chibuku tu, sijui mazoezi wanafanya saa ngapi! Click to expand... Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 15, 2014 #42 djnehe said: Ni kwamba kila mtu amekuwa mwandishi wa habari Click to expand... Kiprofeshino Tunaiita Citizen Journalism Na Ndiyo Imebamba Kwa Sasa! Na Mfano Wako Wa Wazi Ni Jinsi Sisi Mamemba Humu JF Tunavyotiririka.
djnehe said: Ni kwamba kila mtu amekuwa mwandishi wa habari Click to expand... Kiprofeshino Tunaiita Citizen Journalism Na Ndiyo Imebamba Kwa Sasa! Na Mfano Wako Wa Wazi Ni Jinsi Sisi Mamemba Humu JF Tunavyotiririka.
K Kibongani New Member Joined Oct 13, 2014 Posts 2 Reaction score 0 Oct 15, 2014 #43 Huyu mkenya kabisa ndugu
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 15, 2014 #44 Sangomwile said: Picha ya zamani sana hii,ameshastaafu huyo. Click to expand... Kwani Ukistaafu Na Upuuzi Wako Uliokuwa Ukiufanya Nao Unastaafu?
Sangomwile said: Picha ya zamani sana hii,ameshastaafu huyo. Click to expand... Kwani Ukistaafu Na Upuuzi Wako Uliokuwa Ukiufanya Nao Unastaafu?
kashesho JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 4,974 Reaction score 2,492 Oct 15, 2014 #45 kazi nyingine jamani ni vipaji kama huna bora usiisomee
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,512 Oct 15, 2014 #46 Mmuache alale.
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,227 Reaction score 1,104 Oct 15, 2014 #47 GENTAMYCINE said: Kwani Ukistaafu Na Upuuzi Wako Uliokuwa Ukiufanya Nao Unastaafu? Click to expand... Kulala ni upuuzi!
GENTAMYCINE said: Kwani Ukistaafu Na Upuuzi Wako Uliokuwa Ukiufanya Nao Unastaafu? Click to expand... Kulala ni upuuzi!
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,409 Oct 15, 2014 #48 Wapoti said: mwingine huyu Click to expand... dah hii ndio hatari mtu akitokea na kupitia hiyo Machine lol
Wapoti said: mwingine huyu Click to expand... dah hii ndio hatari mtu akitokea na kupitia hiyo Machine lol
autorun255 JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 1,105 Reaction score 364 Oct 15, 2014 #49 Hajalala huyoo...... Amejidunga na drip Angalia mkono wa kushoto.
M Manosa JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 4,510 Reaction score 3,594 Oct 15, 2014 Thread starter #50 haa mym said: Ni ushauri tu! toa hii picha Click to expand... Jana ilikuwepo kwenye fb page ya Nchemba
haa mym said: Ni ushauri tu! toa hii picha Click to expand... Jana ilikuwepo kwenye fb page ya Nchemba
MeinKempf JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 11,092 Reaction score 7,235 Oct 15, 2014 #51 Manosa said: Mgeshi akiwa anapunguza mawazo Click to expand... Kazi na dawa mkuu Manosa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Salamander JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 28,536 Reaction score 15,751 Oct 15, 2014 #52 GENTAMYCINE said: Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA. Click to expand... Nyie wakurya mnalitia aibu jeshi letu, kutwa kushinda kwenye chibuku na magwanda, kwani hamna nguo nyingine za kuvaa.
GENTAMYCINE said: Kama Hawana Hela au Uwezo Huo Ulitaka Wanywe MKOJO Wako? Acha UPOPOMA. Click to expand... Nyie wakurya mnalitia aibu jeshi letu, kutwa kushinda kwenye chibuku na magwanda, kwani hamna nguo nyingine za kuvaa.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 15, 2014 #53 Sangomwile said: Kulala ni upuuzi! Click to expand... Haswa Kwa Mjeda Tena MP. Acha UPOPOMA!
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,929 Reaction score 2,567 Oct 15, 2014 #54 ...daah kalegeeeaa...!
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 15, 2014 #55 Salamander said: Nyie wakurya mnalitia aibu jeshi letu, kutwa kushinda kwenye chibuku na magwanda, kwani hamna nguo nyingine za kuvaa. Click to expand... Uli Musinyu Nyo!
Salamander said: Nyie wakurya mnalitia aibu jeshi letu, kutwa kushinda kwenye chibuku na magwanda, kwani hamna nguo nyingine za kuvaa. Click to expand... Uli Musinyu Nyo!
Utotole JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 6,608 Reaction score 4,265 Oct 15, 2014 #56 MUSSOLIN said: Sajenti kalala kizembe mno... Click to expand... Si ni kama naona kiroba kasinzia nacho? We hapo unategemea nn?
MUSSOLIN said: Sajenti kalala kizembe mno... Click to expand... Si ni kama naona kiroba kasinzia nacho? We hapo unategemea nn?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,741 Oct 16, 2014 #57 Wapoti said: mwingine huyu Click to expand... Wote hawa Wawili hawafai kuwa Ma-Askari kam ni mimi Mkubwa wao nina wadhibu kabisa wanaliaibisha Jeshi letu ni jambo la aibu sana.
Wapoti said: mwingine huyu Click to expand... Wote hawa Wawili hawafai kuwa Ma-Askari kam ni mimi Mkubwa wao nina wadhibu kabisa wanaliaibisha Jeshi letu ni jambo la aibu sana.
Gwangambo JF-Expert Member Joined Jun 30, 2012 Posts 3,637 Reaction score 1,208 Oct 16, 2014 #58 allan clement said: Eti 'mp' si unaweza kumbeba taratibu na kumfungia kwenye friji huyu? Click to expand... Weeeeh! gusa unate... hajalala huyo, ni trick tu.
allan clement said: Eti 'mp' si unaweza kumbeba taratibu na kumfungia kwenye friji huyu? Click to expand... Weeeeh! gusa unate... hajalala huyo, ni trick tu.
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,227 Reaction score 1,104 Oct 16, 2014 #59 GENTAMYCINE said: Haswa Kwa Mjeda Tena MP. Acha UPOPOMA! Click to expand... Wewe aulali!
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 63,032 Reaction score 126,485 Oct 16, 2014 #60 Sangomwile said: Wewe aulali! Click to expand... Nimeajiriwa JF 24/7.