Mahmood JF-Expert Member Feb 9, 2008 7,909 2,477 Jun 15, 2011 #22 Ulaya inatisha, jarima zimezidi sana.
NCHABIRONDA JF-Expert Member Jun 6, 2011 298 107 Jun 15, 2011 #23 Yarabii tobaaaaa!!! Nawashangaa baadhi ya waTZ ambao kila siku wanasema kwamba Tanzania ni nchi ya amani! Hii ndo amani mnayoihubiri kila kukicha? Ebu jiulize huyo mtoto alikuwa amewakosea nini walimwengu? Laaaaaaaaa!!!!
Yarabii tobaaaaa!!! Nawashangaa baadhi ya waTZ ambao kila siku wanasema kwamba Tanzania ni nchi ya amani! Hii ndo amani mnayoihubiri kila kukicha? Ebu jiulize huyo mtoto alikuwa amewakosea nini walimwengu? Laaaaaaaaa!!!!
S sugi JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,392 293 Jun 15, 2011 #24 Ushirikina? au ndo bifu na wazazi?daah, this is too much!