Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 903 Jun 15, 2011 #21 Inasikitisha sana
Mahmood JF-Expert Member Joined Feb 9, 2008 Posts 7,908 Reaction score 2,478 Jun 15, 2011 #22 Ulaya inatisha, jarima zimezidi sana.
NCHABIRONDA JF-Expert Member Joined Jun 6, 2011 Posts 298 Reaction score 108 Jun 15, 2011 #23 Yarabii tobaaaaa!!! Nawashangaa baadhi ya waTZ ambao kila siku wanasema kwamba Tanzania ni nchi ya amani! Hii ndo amani mnayoihubiri kila kukicha? Ebu jiulize huyo mtoto alikuwa amewakosea nini walimwengu? Laaaaaaaaa!!!!
Yarabii tobaaaaa!!! Nawashangaa baadhi ya waTZ ambao kila siku wanasema kwamba Tanzania ni nchi ya amani! Hii ndo amani mnayoihubiri kila kukicha? Ebu jiulize huyo mtoto alikuwa amewakosea nini walimwengu? Laaaaaaaaa!!!!
S Sugi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2011 Posts 1,392 Reaction score 295 Jun 15, 2011 #24 Ushirikina? au ndo bifu na wazazi?daah, this is too much!