Mi naomba nichangie hili la "kunya" kidogo.
Ili hilo tendo liwe efficient inabidi mtu akila chakula na akajisaidia basi kwenye hayo mav*i kusiwe na mabaki ya chakula, la sivyo kutakuwa na mapungufu ya kiujendaji.
Je, vipi zile gas(ushuzi) zitokazo huko haziwezi kuwa dalili au causes za inefficiency?
Mendel's law: Regardless of the level of mutation, Mbuzi hajaweza kuzaa/kugeuka kuwa Ng'ombe tangu kuumbwa kwa ulimwengu!
The Universe: Regardless of supernovae explosions and other energy exchange Mechanisms, the amount of energy has been constant since its formation, Tatizo nikikueleza hivi utaingia tena kwenye let's say mechanical energy na kuanza ku-argue pale
Tunaelewana lakini kijana, acha taarabu siyo ngazi yako. Civilisation siyo somo linalofundishwa darasani, ila liko hidden ndani ya curriculum kulingana na level ya darasa ulilopo.
Efficient system haina waste product. Waste is not a sign of efficiency. A 100% efficient efficient system would not even need input because it would be self propagating, and that is against the laws of physics.
Naonba msaada kutoka kwa wanajamvi wengine? Facts ambazo zinaonyesha kuwa hajaweza kuwa ng'ombe tunazo, zile ambazo zinaweza kuonyesha kuwa ameshawahi hatuna. You normally insist on the use emperical evidence, so which evidence is emperical in this case?Ukishasema mutation ushaongelea inefficiency.
Halafu obviously huelewi evolution kwa sababu ungeelewa usingesema "mbuzi hajaweza kugeuka kuwa ng'ombe".
Unachofanya ni kutaka kuona uduara wa dunia kwa kuangalia kipande cha baraza lako, huwezi kuuona inabidi upande ndege na kuzunguka.
Ukitaka kuona mbuzi anageuka shurti umuangalia kwa mamilioni ya miaka, sio a huma lifetime.
Self sufficient system; efficient system; what is the diffrerence?
self sufficiency a necessary condition for perfect efficiency labda tusemeSelf sufficiency is a characteristic of efficiency. Yani system inayoweza kujiendesha kwa ku recycle vitu, kwa mfano energy, bila kuhitaji cha nje, na bila ku waste cha ndani.
If you create such a system, there is a Nobel waiting for you in Stocholm.
How about the universe?
Put it here so that we can see the truth to your argumentThere is evidence the universe is but a parochial pebble.
Put it here so that we can see the truth to your argument
Naonba msaada kutoka kwa wanajamvi wengine? Facts ambazo zinaonyesha kuwa hajaweza kuwa ng'ombe tunazo, zile ambazo zinaweza kuonyesha kuwa ameshawahi hatuna. You normally insist on the use emperical evidence, so which evidence is emperical in this case?
Evolution ina maswali mengi tu ambayo hayana majibu mpaka sasa, so swala la mbuzi kuwa ng'ombe indirectly linawezekana kama utaangalia factor ya common ancestor.
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa asilimia 10 tu!Yaani pamoja na vituko vyote hatujaweza hata kutumia asilimia 50!Kumbe inawezekana ikawa sababu ya upofu wetu wa kujijua na kujua kuhusu nguvu zinazotuzunguka kama Mungu n.k,au ndo maana tunaamini katika hizo nguvu,yaani huenda hazipo na tunashindwa kujua hazipo kwa sababu hatufikiri vyema!
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa asilimia 10 tu!Yaani pamoja na vituko vyote hatujaweza hata kutumia asilimia 50!Kumbe inawezekana ikawa sababu ya upofu wetu wa kujijua na kujua kuhusu nguvu zinazotuzunguka kama Mungu n.k,au ndo maana tunaamini katika hizo nguvu,yaani huenda hazipo na tunashindwa kujua hazipo kwa sababu hatufikiri vyema!
Inawezekana isiweze kabisa!!!!Kwenye mambo kama haya namkumbuka sana Nyani Ngabu. . . . !!
Efficient system haina waste product. Waste is not a sign of efficiency. A 100% efficient efficient system would not even need input because it would be self propagating, and that is against the laws of physics.
Viumbe hai vingekuwa perfectly efficient systems kusingekuwa na "natural" death.
Kwa misingi hiyo, ni bora kuwa viumbe hai si 100% efficient systems kwa sababu inapelekea kufa na kupungua, na vizazi vyengine kujaza dunia (or should I say ulimwengu?!).
Juu ya hayo, binaadamu (pamoja na influence ya mazingira) anaweza ku-improve efficiency ya system yake na ndio maana kuna jamii nyengine kwa wastani watu wake wanaishi miaka 86 wakati jamii nyengine ni miaka 53
Suala nilionalo ni jee anaeweza kuimprove efficiency ya system yake inamaana anatumia asilimia kubwa zaidi ya uwezo wake wa ki-akili?
Hahahaha,
Unatupeleka kwa Dr. Watson sasa.
Jibu la kifupi ni "NDIYO".
Kama jamii moja imeweza kuongeza life expectancy kufikia miaka 86, na jamii nyingine imeshindwa imebaki kuwa na life expectancy ya miaka 53, ceteris paribus, hii iliyoweza kuongeza inatumia asilimia kubwa zaidi ya uwezo wake wa kiakili na ushahidi ni hii life expectancy.