JaffarMohammed
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 763
- 279
Msishangae na wala msihuzunike. Haya yote tumeyataka wenyewe. Sasa hivi idadi ya wanawake ni zaidi ya mara mbili ya wanaume. Sasa mnategemea nini kama mmeshindwa kuwaoa kinadada hao? Wameamua wajioe wenyewe.