Huyo anateswa na kiapo cha mkwawa si unajua tena watu wa iringa wakizidiwa kitanzi shingon. Eti anaitwa msomi ? Hakuna msomi mjinga hivyo anayefikiri kuwa mtaalamu wa mambo lazima uwe na masters au phd. Kule kwetu ukijiua tunakuzika kama mnyama tu. Don't rest in peace forever maana kodi zetu zinatuuma ambazo zilizotumika kukusomeshea ili uje mtaalamu wetu. Eti wewe unajiua?. Sasa shahada ya kwanza uliyo ipata imetusaidia nini watanzania?
JINGA HILO. KUNA WATU INABIDI WAFE WANATUZINGUA TU HAPA Tz halafu hawafi.Why asingeondoka hata na mmoja? Hata yule mjumbe wa bunge la katiba anayezingua hakumuona?? ARGGGH!!
siyo finance ni economics,,mm namjua huyu mtu kama brother angu,,mm ndiye niliyempeleka fomu za kuomba masterz,,alikuwa ni mkuu wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa,,na kazikwa kwao jana njombe
kama hiyo ndio sababu basi huyo atakuwa punguwani...kuna kipindi nilisoma interview ya mohammed dewji 'mo',alisema hivi..ngoja nijaribu kunukuu kwa kiswaz coz ilikuwa kwa kimombo...."kuna baadhi ya watu wakiniona hivi nilivyo wanadhani kuwa sikuwahi kupata failures katika maisha yangu.ukweli ni kwamba katika mzungoka wa maisha kuna kipindi ni lazima ufeli kabla ya kufaulu"nadhani huyo belimu haikumsaidia kabisa,hivi amekuwa akipata div 1 tangu aanze kusoma?
Kwa hiyo wewe inabidi ulaumiwe na familia kwa kusababisha kifo cha ndugu yao. Uenda usingempelekea hizo fomu hasingeomba kujiunga na masomo ya masters na hivyo asingejiunga na chuo na tena asinge disco. Unajisikia amani kweli moyoni?
Aise wakuu linapokuja swala la kifo sio kumlaumu mtu in that way, navyokuona mkuu soon utasema tunamlaumu mzazi wake kwa kumleta duniani coz kama sio yeye kumzaa jamaa asingekufa, ryt??....