GE2025 Mwanachama wa ACT-Wazalendo Kigoma aahidi Kutiki kura zote 3 kwa CCM

GE2025 Mwanachama wa ACT-Wazalendo Kigoma aahidi Kutiki kura zote 3 kwa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Vituko vinaendelea, hivi sasa tumefika kituo cha Kigoma Mjini kwa ACT- Wazalendo tukielekea kutiki CCM :Alien: :Alien: :Alien:

------------
Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo kutoka Kata ya Majengo, Kigoma Mjini, ameahidi kupiga kura zote tatu kwa maana ya kura ya Diwani, Mbunge na Rais kwa Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ametoa kauli hiyo wakati UVCCM Mkoa wa Kigoma walipokuwa kwenye zoezi la kampeni za nyumba kwa nyumba kuomba kura kwa niaba ya chama hicho


 
Hizi wiki za mwisho mwisho kuelekea uchaguzi wa ajabu tutaona na kusikia vituko vingi sana, msisahau vikaragosi wa vyama shikizi dakika za mwisho na kutangazwa matokeo nao watakuja na vituko vyao kuhalalisha huo uchaguzi wa ajabu!
 
Back
Top Bottom