MwanaCCM aonekana juu ya jukwaa la CHADEMA

MwanaCCM aonekana juu ya jukwaa la CHADEMA

KAYILAZ

Senior Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
195
Reaction score
30
Jamani naombeni msaada,huyo jamaa wa CCM niliyemwona kwenye mkutano wa CHADEMA,ameamua kuvua gamba na kuvaa kombati?

Chanzo: ITV
 
Ni siasa hizo kwani wameandika kuw ni katibu mwenezi wa BAVICHA.
 
Hata mie nimemwoma sijui kalivua gamba ama?
 
Amesema amechoka uhuni na sera za ccm zisizoweza kutatua kero za wananchi
 
Duuh nimemuona huko tegeta magereji ni mwenyekiti ccm huyo,nafikiri amejitambua sasa
 
amesilimishwa tayari, tunasonga mbele, tayri sasa ivvi tunatafakari tumpokee lowasa au tumtose, na wengine wanafata
 
ina maana chadema kila mtu anapokelewa?
_hivi leo akisema aje chenge mtashangilia?
 
kaka usilete habari nusunusu hebu lete full details mana sio wote wameangalia itv
 
jamani naombeni msaada,huyo jamaa wa ccm niliyemwona kwenye mkutano wa chadema,ameamua kuvua gamba na kuvaa kombati?chanzo itv.

Jamani hii habari ni yakweli na ni mAjabu ya kufunga mwaka mwanachama wa CCM na magamba yake kuhutubiA mkutano wa dokta.
Hebu mulokuwepo tusaidieni tujue kama pengine jamaa kajisahau tu kubadili magamba yake kama ameshahamia UKAWA.
 
jamani naombeni msaada,huyo jamaa wa ccm niliyemwona kwenye mkutano wa chadema,ameamua kuvua gamba na kuvaa kombati?chanzo itv.
Hizo ni dalili za wazi kuwa himaya ya utawala wa CCM inazidi 'kuteketea' kwa kasi ya kutisha, hadi viongozi ndani ya chama tawala, wanajitokeza wazi wazi kwenye mikutano ya CDM, huku wamevalia sare za chama chao cha Magamba,bila kuvua gamba, na kuamua kuondoa unafiki na kukiponda wazi wazi chama chao, kwenye mikutano hiyo!
 
Hongera zake , lakini asitarajie kutafuta madaraka ukawa bila kufanya kazi ya ukombozi.
 
ITV wamesema ni katibu mwenezi wa Bavicha. Sasa sielewi maana ya kuvaa zile nguo.
 
Hiyo ndio safari ya CCM kuelekea kuwa chama kikuu cha upinzani, hata Lowassa atalivua gamba.
Ova
 
naona sijapata jibu kamili wadau?tusaidieni kwa hili?
 
naona sijapata jibu kamili wadau?tusaidieni kwa hili?

mkuu huyo mwana ccm alikuwa kweli jukwani lakin mkutano ulikuwa Wa kutoa shukurani kwa wananchi baada ya uchaguzi Wa serikali za mitaaa na huyo mwanaccm ni miongoni mwa wajumbe walio chaguliwa wengi ni kutoka ukawa
 
Back
Top Bottom