MJITA HALISI 176
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 537
- 146
Weka picha
ina maana chadema kila mtu anapokelewa?
_hivi leo akisema aje chenge mtashangilia?
Kuna uhuni unaofanywa na viongozi wa Manispaa ya Kinondoni kuhusu ardhi katika kitongoji kile sasa wenyeviti wa mtaa wa CCM na CDM ndani ya eneo lile wameungana kupigania haki yao. Yule Mwenyekiti wa mtaa wa CCM hakuhama chama bali matatizo yao yamewaunganisha. Ni jambo la kupongezwa na si kubezwa watu wanapoweka kando tofauti zao za kisiasa na kushirikiana katika kupigania haki za wananchi wao
ina maana chadema kila mtu anapokelewa?
_hivi leo akisema aje chenge mtashangilia?
Kuna uhuni unaofanywa na viongozi wa Manispaa ya Kinondoni kuhusu ardhi katika kitongoji kile sasa wenyeviti wa mtaa wa CCM na CDM ndani ya eneo lile wameungana kupigania haki yao. Yule Mwenyekiti wa mtaa wa CCM hakuhama chama bali matatizo yao yamewaunganisha. Ni jambo la kupongezwa na si kubezwa watu wanapoweka kando tofauti zao za kisiasa na kushirikiana katika kupigania haki za wananchi wao