nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,458
- 8,086
Ningependa kukiri kuwa mimi ni shangiliaji wa timu ya Yanga japo mpira kidogo umenipitia pembeni.
Ila kwa haya mashindano ya kombe la Afrika na hatua waliyofikia Simba, nimeamua kuwa upande wa Simba.
Nimeamua hivyo kwakua mimi ni mzalendo. Simba kushiriki kwenye hii michuano, sio tu wanaiwakilisha timu yao. Bali wanaliwakilisha taifa.
Nitajisikia vibaya endapo Simba itakua ikitoka na matokeo mabovu.
Sitaishatakia mema pale tu itakapokua inacheza michuano ya ndani.
Povu ruksa
Ila kwa haya mashindano ya kombe la Afrika na hatua waliyofikia Simba, nimeamua kuwa upande wa Simba.
Nimeamua hivyo kwakua mimi ni mzalendo. Simba kushiriki kwenye hii michuano, sio tu wanaiwakilisha timu yao. Bali wanaliwakilisha taifa.
Nitajisikia vibaya endapo Simba itakua ikitoka na matokeo mabovu.
Sitaishatakia mema pale tu itakapokua inacheza michuano ya ndani.
Povu ruksa