HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
AMEN
Bwana Ametoa na Bwana Ametwa, Jina la Bwana Lihimidiwe!!
R.I.P Dena.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwa, Jina la Bwana Lihimidiwe!!
R.I.P Dena.
Mbele yake, nyuma yetuR.I.P DENA,umetangulia tu,tuko nyuma yako!
Ndio huyo mkuuHeeh huyu mbona namfahamu...amewahi kuwa mfanyakazi wa Shirika moja kubwa la sirikali la maw......
Dah nasikitika nilipomaliza kazi nilikuwa niko nayo nkaondoka kanipa namba ya simu haikuwahi patikana nikaifuta...I wish unipe namba yake dah...Ndio huyo mkuu
Aliyoyasimamia akiwa incognito yanaweza sababisha balaaa kwa waliobaki hai wanaomuhusu.Hapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.
Kweli kabisa. Maadamu mtu hakutumia jina lake rasmi basi hata akifa aachwe hivyohivyo. Kuna madhara mengi tu watu hawaoni harakaKilicho fanyika hapa si sahihi hata kidogo na hatuja mtendea haki dada Dena!
Yaani baadhi ya members waanika jina lake ubin wake na wengine wanaleta hata picha zake humu jamvin kitu ambacho Dena mwenyewe hakuthubutu kukifanya, kwa kweli tumemkosea sana yaani tumeshindwa hata kuheshi privacy yake, lawama zangu nazielekeza kwenu ninyi mlio amua kumuanika, kwani mngekaa kimya mngepungukiwa nini?
Ooh! Sorry.....Mkuu ni her soul, not his soul (ke)
Namba yake sinaDah nasikitika nilipomaliza kazi nilikuwa niko nayo nkaondoka kanipa namba ya simu haikuwahi patikana nikaifuta...I wish unipe namba yake dah...
Dah she was very very......